ni kweli jf imepooza kidogo hasa kule jukwaa la siasa
Inaanza kupoteza mashiko ...ndio mwanzo wa mwisho wa jf!
Tunaumwa Igunga..Tukishapona utatuona tuu ...........Jf imekuwa kimya saana jama...tatizo nn lakini?au watu wamehamia fb?
Hahaha da siasa chai tuu,mapenzi swafini kweli jf imepooza kidogo hasa kule jukwaa la siasa