Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Baada ya uandikishaji wa majaribio sifahamu kinachoendelea kuhusu uandikishaji wapiga kura . Nasikia tu wanasiasa wakihamasishana kwenye vyama wakajiandikishe . Hapa kuna mchezo wa makusudi ama uzembe ili wajiandikishe baadhi na baadhi walale usingizi wakistuka wameliwa. Hebu tangazeni hili zoezi na ratiba mtuwekee .Kama tume ina website tupewe