Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Umeona imekubalika na watanzania au wanatumia mibavu?operation TOZO aka kodi ya uzalendo.
Umeona imekubalika na watanzania au wanatumia mibavu?operation TOZO aka kodi ya uzalendo.
Ukimya ndio kuikubali kwenyewe!Umeona imekubalika na watanzania au wanatumia mibavu?
kwahiyo na hii ya machinga unataka watumie ubavu? Mzee ukitaka kuona kuongoza watu ni shida basi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi utaelewa. Au hata kiongozi kwa level ya familia.Umeona imekubalika na watanzania au wanatumia mibavu?
Hii comment ni ya mtu mwenye uelewa mkubwa sanaMbona hushangai CCM kung'ang'ania madaraka?
Kama ambavyo CCM hawataki kuondoka madarakani, ndivyo ambavyo na wamachinga hawataki kuondoka katika hayo maeneo.
Kweli kabisa,shida kariakoo ni kitovu cha biashara.
hapo watakuja kuuana
Mbagala jeMaeneo ya Bunju hadi Tegeta ndio Wamachinga wametii amri halali ya serikali ya kupangwa upya lakini Kariakoo ambako ndio chimbuko la tatizo bado chingas wako kibao.
Nadhani Wamachinga wamemuelewa zaidi Shaka kuliko Makalla
Maendeleo hayana vyama!