nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Nakumbuka kikwete alivyokuwa kila mara anasema anataka kuzalisha mabilionaires na marais wengi hufurahia mabilionea wanavyoongezeka lakini hapa kwetu ni kinyume utawala huu wa awamu ya tano,jamani mengi keshakufa,manji na matajiri kibao wa kihindi wamehamishia mitaji zambia na kenya sasa inaonekana ni zamu ya huyu kijana kuungua moto maana hiki kipeperushi cha musiba na kama kipaza sauti tu.halafu mbona this time wanaogopa sana uchaguzi wa 2020?kuna yanayofukuta sisi hatuyajui?
Matajiri wenyewe wa sasa ni kina bashite wanaomiliki ma hotel,ma apartments na magari ya kifahari au ndo mnataka warithi kina MO?msituletee ya zimabwe tafadhali,hali mtaani ni mbaya sana,msituchoshe.
Dah sipati picha Yanga watakavyoshangilia masaibu yanayokuja.
Matajiri wenyewe wa sasa ni kina bashite wanaomiliki ma hotel,ma apartments na magari ya kifahari au ndo mnataka warithi kina MO?msituletee ya zimabwe tafadhali,hali mtaani ni mbaya sana,msituchoshe.
Dah sipati picha Yanga watakavyoshangilia masaibu yanayokuja.