Mbona humu ni mapenzi tu!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,144
9,338
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!

Unatafuta rafiki wa kike, ukimpata mwisho wa siku utataka awe mpenzi wako, kwa nini uzunguke si useme tu unatafuta mpenzi?
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!

kaka hebu acha kukurupuka tafuta uzi wenye maana!!!!
 
kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya mapenzi,mahusiano na urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! Na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama mandela!

mapenzi si urafiki?
Mapenzi si mahusiano?
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!


Una maana wewe ni marehemu
 
kwani mapenzi yanaanza na nin kama c urafiki na uhusiano..au mwezetu ulikulupuka tuu..ulikutana na mtu njian mkawawapenzi hapohapo..mkiachwa mnalalamika ....
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!

Kijana unaelewa maana ya mapenzi?usije kichwa kichwa na mawazo yako ya upande wa kushoto.
 
ANAKWAMBIA ANA SIFA KAMA MANDELA, UNAULIZA PICHA. MANDELA LIWAHI KUWA BOXER NA ALIWAHI KUFUNGWA JELA. Halafu huyu jamaa ana bore, nilidhani anapinga mjadala wa ukurasa huu, kumbe naye anaingia humo humo. Angepinga akataka mjadala mwingi ujikite katika kuibua ubunifu wa shughuli za kiuchumi kuwaokoa vijana nigemuelewa.
Weka picha tuone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom