nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Hivi all this time tunadanganyana kwamba vyura walicontribute 3 points in the 5 years CAF rankings kumbe ni 2???kama simba kaongezea 16 points hawa vyura wanakataa nini kupiga magoti na kushukuru,angalia mchango wao hadi kufikia 2017. 2 points wakiiiweka nchi katika nafasi ya 24 kabala ya wanaume kuja kupindua meza in one year hadi namba 12.
source https://en.wikipedia.org/wiki/CAF_5-Year_Ranking
source https://en.wikipedia.org/wiki/CAF_5-Year_Ranking