MgonjwaUkimwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 1,336
- 875
Mbona hivi? Jamaa aliyekatika kidole kwenye ajali anapiga kelele masaa kadhaa, aliyekatika shingo yuko kimyaaaa!!
Mbona hivi? Mtu akikaa uchi bila kukusudia na huku akiwakodolea macho wanaomwangalia kwa mshangao, wanaomwangalia wanasemezana kwamba ni malaya, wakati akikaa uchi kwa makusudi huku akisoma gazeti, wapita njia watamsaidia wakizani kakosea!!
Mbona hivi? Majuu wahuni uvalia suluari zao magotini wakati watu wenye heshima zao bongo uvalia tumboni/kwapani!! wahuni wa bongo watavalia wapi, na wenye heshima zao majuu watavalia wapi??
Mbona hivi? Mwalimu anayelipwa anaandikia ubaoni, mwanafunzi hasiye na kazi anaandikia daftarini
Mbona hivi? Kunguni au mbu hawajaenda japo shule na inawachukuwa robo sekunde kugundua mshipa wa damu, dokta mwenye madgree ya kugundua mishipa atachukuwa masaa kadhaaa huku akiomba wasaidizi wake waje!!
Mbona hivi? Pilau ni wali husiohitaji mboga na mchuzi, kachumbari na mchuzi wake vimefikaje mezani?
Mbona hivi? Mtu kajikwaa na kuanguka barabarani, yuko bize kuangalia nani amemuona wakati anaanguka, badala ya kuangalia wapi yawezekana kaumia!
Mbona hivi? Hakuna kikaratasi cha onyo kutoka wizara ya ustawi wa jamii kwa wavaaji sketi na gauni kinachosema "vazi hili kamwe halitakustiri na halitaendana na maadili ya jamii pale mvaaji unapokaa chini na kutawanya miguu mbele ya kadamnasi"
Mbona hivi? Mtu akikaa uchi bila kukusudia na huku akiwakodolea macho wanaomwangalia kwa mshangao, wanaomwangalia wanasemezana kwamba ni malaya, wakati akikaa uchi kwa makusudi huku akisoma gazeti, wapita njia watamsaidia wakizani kakosea!!
Mbona hivi? Majuu wahuni uvalia suluari zao magotini wakati watu wenye heshima zao bongo uvalia tumboni/kwapani!! wahuni wa bongo watavalia wapi, na wenye heshima zao majuu watavalia wapi??
Mbona hivi? Mwalimu anayelipwa anaandikia ubaoni, mwanafunzi hasiye na kazi anaandikia daftarini
Mbona hivi? Kunguni au mbu hawajaenda japo shule na inawachukuwa robo sekunde kugundua mshipa wa damu, dokta mwenye madgree ya kugundua mishipa atachukuwa masaa kadhaaa huku akiomba wasaidizi wake waje!!
Mbona hivi? Pilau ni wali husiohitaji mboga na mchuzi, kachumbari na mchuzi wake vimefikaje mezani?
Mbona hivi? Mtu kajikwaa na kuanguka barabarani, yuko bize kuangalia nani amemuona wakati anaanguka, badala ya kuangalia wapi yawezekana kaumia!
Mbona hivi? Hakuna kikaratasi cha onyo kutoka wizara ya ustawi wa jamii kwa wavaaji sketi na gauni kinachosema "vazi hili kamwe halitakustiri na halitaendana na maadili ya jamii pale mvaaji unapokaa chini na kutawanya miguu mbele ya kadamnasi"