Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

Mbona huyu anakopa na bado unakamuliwa hata wewe kajamba nani?

Au hujasikia kama zimekopwa tililioni 2 huko?
Kukopa kufadhili bajeti ni jambo la kawaida, ila inashangaza mtu kukopa kujenga reli ambayo faida yake ni baada ya mika 20
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Nchi kwa sasa inaendeshwa na Mwigulu Nchemba
 
Mikoani vilio vinatawala....hospitali za wilaya, achilia mbali vituo vya afya, wagonjwa wanalazimika kununua vifaa tiba na madawa kwenye maduka binafsi ya madawa. Kuna faida gani kupanua ujenzi wa vituo zaidi wakati vilivyopo havitoi huduma zinazotakiwa?
Ushahidi unao, wa kituo kipi cha afya?
 
Umesahau ndo Rais aliyekopa zaidi na kuongeza deni la Taifa kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko Rais yeyote kwenye historia ya Tanzania

JPM alikopa mpaka akafika kikomo cha kukopa ndio mzigo aliotuachia 71 trillion za made no.

Mbona huyu anakopa na bado unakamuliwa hata wewe kajamba nani?

Au hujasikia kama zimekopwa tililioni 2 huko?

Kikomo cha kukopa?

Ile tililioni 2 ambayo mama kakopa juzi ulimkopesha wewe
Mama yenu hata miezi sita haijaisha ameshakopa zaidi ya Trillion 2.
 
Mama yenu hata miezi sita haijaisha ameshakopa zaidi ya Trillion 2.
Una habari mwezi wa 1 magufuli alikopa zaidi ya trillion moja kutoka china na akasaini mkataba akiwa chato kwa ajili ya ujenzi wa reli ya Mwanza isaka
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Sisi wananchi lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu- hivyo tutachoka lini kusimangwa na wazungu na wachina kila wakitupatia misaada. Kutokana na mahela yaliyokusanywa ni wazi kwamba kuna watu wanauwezo wa kulipa hizo tozo . Pesa iliyokusanywa kwa miezi miwili - billioni 60 si mchezo, huku wananchi wakilalamika kuwa hawana uwezo . Kuna pesa nyingi inayo pita kwenye miamala ya simu- kuna biashara kubwa sana mtandaoni, Serikali ilikuwa haipati kitu! Hongera kwa serikali ya Mama kugundua chanzo kipya cha mapato. Awamu ya tano -ilijitahidi kiasi chake - lakini iliacha madeni makubwa kwa wazabuni waliofanya kazi na serikali, wafanya biashara walifunga maduka yao wakilalamikia TRA. Hiki chanzo kipya kitasaidia kujenga nchi hii kikitumika vizuri. Wezi wa wapesa za wananchi wapigwe miaka 30 jela, tuone kama mtu ataziiba.
 
Sisi wananchi lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu- hivyo tutachoka lini kusimangwa na wazungu na wachina kila wakitupatia misaada. Kutokana na mahela yaliyokusanywa ni wazi kwamba kuna watu wanauwezo wa kulipa hizo tozo . Pesa iliyokusanywa kwa miezi miwili - billioni 60 si mchezo, huku wananchi wakilalamika kuwa hawana uwezo . Kuna pesa nyingi inayo pita kwenye miamala ya simu- kuna biashara kubwa sana mtandaoni, Serikali ilikuwa haipati kitu! Hongera kwa serikali ya Mama kugundua chanzo kipya cha mapato. Awamu ya tano -ilijitahidi kiasi chake - lakini iliacha madeni makubwa kwa wazabuni waliofanya kazi na serikali, wafanya biashara walifunga maduka yao wakilalamikia TRA. Hiki chanzo kipya kitasaidia kujenga nchi hii kikitumika vizuri. Wezi wa wapesa za wananchi wapigwe miaka 30 jela, tuone kama mtu ataziiba.
Jikite kwenye mada? Mbona hayati JPM alijenga bila kukamua wananchi kupitia tozo za miamala ya simu kama ishu ni kujenga vituo vya afya.
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.



Alitumia presamtive tax assessment, Unadai kodi hadi ya wakakti wa Mkapa, Unataka irudi hiyo?

My friend tozo ni bora kuliko thuluma,
 
Yule ni mwamba.

Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.

Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..

In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.

Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Kweli kabisa mzee. Nakuunga mkono
 
Sisi wananchi lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu- hivyo tutachoka lini kusimangwa na wazungu na wachina kila wakitupatia misaada. Kutokana na mahela yaliyokusanywa ni wazi kwamba kuna watu wanauwezo wa kulipa hizo tozo . Pesa iliyokusanywa kwa miezi miwili - billioni 60 si mchezo, huku wananchi wakilalamika kuwa hawana uwezo . Kuna pesa nyingi inayo pita kwenye miamala ya simu- kuna biashara kubwa sana mtandaoni, Serikali ilikuwa haipati kitu! Hongera kwa serikali ya Mama kugundua chanzo kipya cha mapato. Awamu ya tano -ilijitahidi kiasi chake - lakini iliacha madeni makubwa kwa wazabuni waliofanya kazi na serikali, wafanya biashara walifunga maduka yao wakilalamikia TRA. Hiki chanzo kipya kitasaidia kujenga nchi hii kikitumika vizuri. Wezi wa wapesa za wananchi wapigwe miaka 30 jela, tuone kama mtu ataziiba.
Tunachangia kwa kodi na sio kwa tozo hizi. Nenda Kenya uone kama kuna tozo mshenzi hizi
 
Serikali haiwezi kuacha kukopa ila ndio maana wanajitahidi kutumia tozo kugharamia baadhi ya miradi bila kukopa ,ukitegemea kukopa tuu hufiki .

Umeambiwa mwakani kuna watoto zaidi ya 900k wanatakiwa kuanza shule unadhani pesa zinatoka wapi ?
Sasa msimlaumu Magufuli kwa kukopa.
 
Back
Top Bottom