Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Ndio zile zilikuwa zinachukuliwa kwenye mabenki na zingine ndio kina Sabaya walikuwa wanazikusanya kimenomeno
Kwa hiyo ujue Kuna walioumizwa
Kwa hiyo ujue Kuna walioumizwa
Du!Tozo za umeme -umeme vijijini
Tozo za mafuta-kujenga barabara
Tozo za simu-kujenga Hospitality na shule.
VAT&Income tax-ku control CHADEMA.
Duh!!Kwenye umeme Hali ipo hiviView attachment 1900398
Mbona Samoa anaajiri, anatoa nyongeza za mishahara na kuendeleza miradi - pesa anapata wapi?Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Waulize wafanyabiashara wa maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hasa kule arusha watakuambia chanzo ni kipiHili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Umemaliza mkuu, sana sana tutajificha huku nyuma ya keyboard😂😅Hata tukiweka kuweka na kutoa ni elf 10 kwani utatufanyaje?
Subiri tozo nyingine inakuja muda si mrefu maana Rais wa Tozo keshaahidi kudhaminj Mashindano ya CECFA kwa WanawakeHili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Acha kumfananisha JPM na wacheza taarab.Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Brother Magu alitoza kodi mpaka wafanya biashara wakaijua maana ya kodi leo bidada kawalegezea wafanya biashara kodi na hata waliokuwa wakihakikisha kodi zinalipwa ipaswavyo wanapelekwa mahakamani..Bidada ni mmagharibi kweli kiasi kaingia mazima kumtoza kodi mama yangu masikini nikimtumia sh elfu ishirini ya paracetamol ambayo serikali haitoi bure..Kutoza kodi masikini ni kujifungulia milango ya ahera siyo vizuri.Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Uko nchi gani. Mishahara ilipanda mwezi Juni kakaMama hakopi? Mama amepandisha mishahara?
Baada ya yeye kufariki ripoti ya CAG iliwekwa hadharani ndiyo ikajulikana.Sasa kama ni kwa siri ulijuaje kama tuna deni na alikopa?
Mwizi hawezi kupunguza wiziUkiachana na yote hayo ila wizi ulipungua na upigaji katika kipindi cha anko
Kwa lipi?kuhutubia taifa kila siku?Tutamkumbuka mwamba yule wa Kanda ya ziwa
Usisahau JPM alituaminisha kwamba anafungua maduka ya MSD kila hospitali yapo wapi?Mikoani vilio vinatawala....hospitali za wilaya, achilia mbali vituo vya afya, wagonjwa wanalazimika kununua vifaa tiba na madawa kwenye maduka binafsi ya madawa. Kuna faida gani kupanua ujenzi wa vituo zaidi wakati vilivyopo havitoi huduma zinazotakiwa?
Angekuweko ungeyaona. Tuliyaona. Hidi leo tako Mahospiti. Hayo tunasanya kama zamaniUsisahau JPM alituaminisha kwamba anafungua maduka ya MSD kila hospitali yapo wapi?
Kumtawala mtanzania ni simple sana
Je ukiambiwa ndiye general Sir.baya alikuwa anafanikisha kwa namna moja au nyingi utasemaje?Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.