Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

Hizi kodi zote ni matokeo ya yeye kukopa kwa fujo ili kusaka political millage. Matokeo yake saa tumejikuta kwenye madeni makubwa yenye marejesho ya muda mfupi.
Huwa nakufuatilia humu jamvini. Leo umepost uharo. Kwani alipokuwepo deni la taifa lilikuwa halilipwi? Kukopa ni tatizo kama mnakusanya na kulipa?
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Alikuwa anatumia Bunduki kupora matajiri

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Yule ni mwamba.

Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.

Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..

In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.

Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
JPM shujaa wa TZ na bara lote la Afrika...yule alikuwa ni Mwamba ...itatuchukua miaka mingi TZ kumpata kiongozi Kama JPM...a true son of TZ...a true son of Africa..
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Hivi kweli nyie watanzania?Leo Serikali ya Awamu ya 6 inakopa matrilioni kwa sababu huyo uliyemtaja kaifilisi nchi.Huku anajifanya anatetea wanyonge kumbe ana makampuni ya ujenzi kibao.Benki kuu kumekauka.Kachukua mapesa,Mali,Dhahabu kwa nguvu ili aonyeshe nchi eti tupo kwenye uchumi wa kati!!!!!.Alitukuta wajinga waliwao.Kwa taarifa yako wewe mbumbumbu Nchi zilizoendelea Zinaitwa G7.Zipo saba tu.Sasa zipo nchi za uchumi wa kati kama Hungary ambapo kima cha chini kabisa ni dola za kimarekani elfu 9.Labda huyo unayemzungumza alikuwa anamaanisha Zimbabwe dola ambazo zina noti za mpaka milioni ambazo huwezi hata kununua mkate.
 
Tujiulize pamoja na kuweka mkakati mkubwa kwenye madini na almasi yetu ambako ni pesa lukukizinatoka huko. Leo zinaenda wapi hadi waje kutukamua kiasi hiki.
Wanazidi kula pesa kwa kwenda mbele. Shida ziko palepale wananchi wanaliankila kona barabara, shule, maji hudhma nyingi za wananchi wakati wabunge wanakamua!! Nchi ya ajabu.
 
Alikamua matajiri na Mashirika ya Umma. Walitolewa tozo zao. Kila mwaka. Na usipolipa boda ziliwajibika.
TRC. ATCL. POSTA. TANESCO. SUMA. STAMICO. TPL .NMB . Kila MwanyeKiti wa shirika aliwashika. nk walilipa bilioni pesa karibu mashirika 100 na kitu
 
Huwa nakufuatilia humu jamvini. Leo umepost uharo. Kwani alipokuwepo deni la taifa lilikuwa halilipwi? Kukopa ni tatizo kama mnakusanya na kulipa?

Alikuta deni la taifa likiwa 39t+, ameenda motoni ndani ya miaka mitano akiacha deni likifika 60t. Yaani yeye mwenyewe katengeneza 1/3 ya deni lote la marais wote walioongoza nchi hii kwa miaka 55. Unakopa unalipa kisha deni lipande kwa 20t? Uza ubongo huo dogo maana unaumiliki kwa hasara.
 
Alikuta deni la taifa likiwa 39t+, ameenda motoni ndani ya miaka mitano akiacha deni likifika 60t. Yaani yeye mwenyewe katengeneza 1/3 ya deni lote la marais wote walioongoza nchi hii kwa miaka 55. Unakopa unalipa kisha deni lipande kwa 20t? Uza ubongo huo dogo maana unaumiliki kwa hasara.
Unaongea upuuzi. Kama hujaenda shule. Yeye alikuta deni kiasi gani na kaongeza kiasi gani? Alitengeneza miradi inayohudumiwa na deni la taifa kiasi gani?
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.

Alikua anakopa, Nchi haiwezi kuendeshwa kwa kukopa milele
 
Unaongea upuuzi. Kama hujaenda shule. Yeye alikuta deni kiasi gani na kaongeza kiasi gani? Alitengeneza miradi inayohudumiwa na deni la taifa kiasi gani?

Unapanic mpaka unachemka, nimeweka kwenye post yangu kuwa kakuta 39t, ndani miaka mitano deni limefikia 60t, yaani ndani ya miaka mitano kupandisha deni kwa 20t, ni sawa na 1/3 ya deni lote la marais wa nchi hii. Taja hiyo miradi iliyoleta deni la 20t tuione.
 
Tunajenga vituo 150 kwa mwaka na 750 by 2025 ,,hii itaendelea hadi 2030 tuwe na vituo takribani 1500 .

Magu alijenga na kukarabati 460 kwa miaka 6 sasa lini tutamaliza vituo 3956 vinavyotakiwa?
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je, kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je, hakuna chanzo kingine cha mapato.
Hicho chanzo kingine means someone else ndio alipie hizo gharama, kipindi Cha mwendazake inajulikana wazi kwamba watu walithulumiwa pesa ili kufanikisha yote hayo, huku nyie aliowabatiza wanyonge mkipata free raid, sasa ni wakati wa haki bin haki kila mmoja wetu abebe huu mzigo wa ujenzi wa taifa. Wakati wa kudekezwa haupo tena.
Swala la msingi ni sisi wananchi kuhakukisha kuwa pesa zinazotozwa zinatumika kwa makusudu tarajiwa bila kuchezewa.sina shaka mama ataupiga mwingi kwenye hilo.
 
Alitoza kodi kubwa na kunyang'anya hela za wafanya biashara. Ambapo sasa zimepungizwa, ili kuiwezesha secta binafsi kukuwa na hivyo kutengeneza ajira nyingi kwa watanzania.

Lkn pia vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari walilazimishwa kuvinunua kwa Tsh. 10,000. Kwa kila mmoja.

Alianzisha tozo za kupiga mihuri ya mifugo yote nchini kwa kila ng'ombe Tsh. 3000. Ko wenye ng'ombe zaidi ya 500. Ziliwatoka nyingi.

Pia aliwatoza machinga Tsh. 20,000. Kwa kila mmoja kwa mwaka. Ambayo kwa sasa haipo.

Kuunganishiwa umeme kipindi hicho ilikuwa Tsh. 320,000, lkn sasa ni Tsh. 27,000.

KO HIVI NDIVYO VILIKUWA VYANZO VYA JPM NYAKATI ZAKE.
Sio kweli rea ilikua elfu 27 pia
 
Back
Top Bottom