Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
- Thread starter
- #101
Huwa nakufuatilia humu jamvini. Leo umepost uharo. Kwani alipokuwepo deni la taifa lilikuwa halilipwi? Kukopa ni tatizo kama mnakusanya na kulipa?Hizi kodi zote ni matokeo ya yeye kukopa kwa fujo ili kusaka political millage. Matokeo yake saa tumejikuta kwenye madeni makubwa yenye marejesho ya muda mfupi.