enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 340
Mliohudhulia hiyo Shoo ya akina Rayvany, Mavoko na Queen wao tupeni kilichojiri au bado mnaedit picha ila natumaini kila kitu kilienda kama kilivyotarajiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majungu hayo sasa..soon utaletewa keep waiting!Mliohudhulia hiyo Shoo ya akina Rayvany, Mavoko na Queen wao tupeni kilichojiri au bado mnaedit picha ila natumaini kila kitu kilienda kama kilivyotarajiwa
Bas ngoja nivute subiraBado tunajitahidi kuziweka kwenye pic mix
Lakini vipi ukumbi mlijaza auBado tunajitahidi kuziweka kwenye pic mix
Usijali sana Ma'mdogo, hizi hapa nimekuwekea.Mliohudhulia hiyo Shoo ya akina Rayvany, Mavoko na Queen wao tupeni kilichojiri au bado mnaedit picha ila natumaini kila kitu kilienda kama kilivyotarajiwa
Usijali sana Ma'mdogo, hizi hapa nimekuwekea.
Ile shoo ilikuwa na watu wachache mno,ktk kuchunguza ikagundulika kuwa watu wa DOM hawamjui kiba.Ingependeza ili kuweka kumbukumbu sawa upost na ile ya kiba! ili kumfuta tongo tongo mleta uzi
Mama p....kipenziBado tunajitahidi kuziweka kwenye pic mix
mtoa mada ulikuwa unahitaji nyingine??Mliohudhulia hiyo Shoo ya akina Rayvany, Mavoko na Queen wao tupeni kilichojiri au bado mnaedit picha ila natumaini kila kitu kilienda kama kilivyotarajiwa