Viongozi wa vyama mbali mbali na serikali pamoja na wasanii mbalimbali walijitokeza kweny hafla ya kumuuga KAMANDA mbona Dr shika hakuonekana au nae alikuwa na bifu na marehemu
Kwa hiyo jamaa anapenda tisa tisa tu! Maana kule alisema mia tisa sasa na huku saa tisa. Mbona yule mwenzake mamaaa nakufaaa alikuwepo au yeye hakualikwa 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.