Mbona course ya M.D. haipatikaniki kwa hata vyuo kama ST Fransis nini tatizo?

Kwa mtu ambaye kapata G.P.A YA 4.0 c.linical medicine anaweza kucjaguliwa MUHAS M.D ?
Hivi nyie MUHAS mnapachukuliaje...yaani hutakiwi kupawaza kabisaa...wewe omba vyuo vingine...mi nashangaa watu mnaopapenda muhas wakati uwezo wa kupata ni mdogo
 
Ani mwnywe mewaza hiyo mambo roho imekataa kabisa eti mpaka mama akanambia maisha ni popote meamua kuachana nayo

Maombi yako mkuu
Wewe kama mimi tu nimeshift upande..nimeachana na afya kila muda natemwa nikaona sio kesi
 
Wewe kama mimi tu nimeshift upande..nimeachana na afya kila muda natemwa nikaona sio kesi



Nlidhan ni kwangu tu kumbe tuko wengi eee

Mana nlilia nusu nije nizimishwe khaa

Kila nkifunga macho nakumbuka nlivyokua nazunguka lab hii natokea huku ani full vurugu afu saiv niko apa

Karma is bitch wallah
 
aaah mnafata majina sawa..kwenye mahospital unaenda kukutana na wenzako waliosoma kampala na st fransis safi kabisaa...sasa pale MD wanachukuliwa watu 200 tu ...
Wachache sana hao,naamini kusoma ni popote.



Mimi siwezi kuchagua chuo cha kusomea udaktari,lengo ni udaktari na wala lengo sio kusoma MUHAS.

Ninachoamini kazi inahitaji juhudi na kuipenda ili uifanye kwa ufanisi
 


Nlidhan ni kwangu tu kumbe tuko wengi eee

Mana nlilia nusu nije nizimishwe khaa

Kila nkifunga macho nakumbuka nlivyokua nazunguka lab hii natokea huku ani full vurugu afu saiv niko apa

Karma is bitch wallah
Usijali..lakini Maisha ni popote kule cha umuhim ni kumuomba Mungu tu hata huko unapokwenda utashangaa ndo utawahi kutoboa
 
Mshahara wa MD serikalini ni 1.4 mill akikatwa anabakiwa na 9.5 laki.
Hela ya kawaida sana huu ni mshahara wa secretary mwenye diploma NSSF
Umenena vyema mkuu, hii kaz ni wito sio pesa, vijana hawaelew, pesa hakuna hapo,udaktar ni wito kwel kwel, medschool yenyewe ni mziki mnene sup, disco nje nje, utoke hapo utupwe kituo cha afya vijijin, kama ulifata pesa lazima udate
 
Umenena vyema mkuu, hii kaz ni wito sio pesa, vijana hawaelew, pesa hakuna hapo,udaktar ni wito kwel kwel, medschool yenyewe ni mziki mnene sup, disco nje nje, utoke hapo utupwe kituo cha afya vijijin, kama ulifata pesa lazima udate
Vijana hawaelewi haya wanafurahia kuvaa makoti meupe. Kuna vijana wana degree za miaka 3 wapo kwenye taasisi wanakunja hela nzuri na posho kibao.
 
Vijana hawaelewi haya wanafurahia kuvaa makoti meupe. Kuna vijana wana degree za miaka 3 wapo kwenye taasisi wanakunja hela nzuri na posho kibao.
Kabisa kwanza sasa hivi pia hao madokta washakuwa wengi sasa hivi MD anakaa health centre serikali zile ajira za juzi wengi wametupwa health centre mm kuna rafiki zangu wawili wamegoma kwenda wakati zamani health centre walikuwa wanakaa AMO NA CO
 
Umenena vyema mkuu, hii kaz ni wito sio pesa, vijana hawaelew, pesa hakuna hapo,udaktar ni wito kwel kwel, medschool yenyewe ni mziki mnene sup, disco nje nje, utoke hapo utupwe kituo cha afya vijijin, kama ulifata pesa lazima udate
Yaan unaangaika miaka 5 na ukimaliza hapo kwa sasa serikali ukipata ajira tu kijijini maana wanakupeleka health centre
Vijana inabidi sasa hivi wabadili mawazo sio lazima usome unachopenda mm nilichosomea yaan sikuwahi kufikiria kama kuna siku nitakuja kufanya kazi hii yaan ningejua mapema wala nisingejiangaisha
 
.
-Aanze kusaka vyuo vya nje ya nchi kama India, China, Russia. (Gharama yake nasikia Tution fee sio chini ya dola 2000 kwa mwaka, plus dola 2000 zingine kama living allowance kwa mwaka. Ubora wa elimu ni pata potea)
You must be outta your goddamn mind....

India, China na Russia wana elimu ya pata potea kuliko MUHAS, KCMC na St. Fransis ?

Referral zetu tunapeleka India...
Madaktari wa China na India wanakuja kufanya special operations wanasepa... Ushasikia India kuna kesi imewashinda huko wakamwita Mpare wa KCMC akawapige tafu? Nyooooo!

Russia sayansi yao imepeleka watu mwezini back in the sixties...

Tembea Kariakoo, city center, kwenye meza za wauza vitabu kuanzia vya sekondari, vyuo, engineering, mathematics, medicine, sheria, ukicheki author, vimeandikwa na wahindi jamani... mpaka leo mpaka kesho...

halafu una balls za kukandya elimu yao mtu umekaa hapo kwenye computer unatumia software ambayo si ajabu ime code-iwa na mtoto wa kihindi... you must be nuts!

... Wachina wanakuja kuwajengea majengo ya ghorofa nne hapa kwa sababu civil engineering ya UDSM inaishia ghorofa tatu, ikianza nne kwenda juu lazima mwanasayani awe mchina...

Elimu ya India, China na Russia pata potea? You retarded?
 
You must be outta your goddamn mind....

India, China na Russia wana elimu ya pata potea kuliko MUHAS, KCMC na St. Fransis ?

Referral zetu tunapeleka India...
Madaktari wa China na India wanakuja kufanya special operations wanasepa... Ushasikia India kuna kesi imewashinda huko wakamwita Mpare wa KCMC akawasaidie? Nyooooo!

Russia sayansi yao imepeleka watu mwezin back in the sixties...

Tembea Kariakoo, city center, kwenye meza za wauza vitabu kuanzia vya sekondari, vyuo, engineering, mathematics, medicine, sheria, ukicheki author, vimeandikwa na wahindi jamani... mpaka leo mpaka kesho...

halafu una balls za kukandya elimu yao mtu umekaa hapo kwenye computer unatumia software ambayo si ajabu ime code-iwa na mtoto wa kihindi... you are nuts!

... Wachina wanakuja kuwajengea majengo ya ghorofa nne hapa kwa sababu civil engineering ya UDSM inaishia ghorofa tatu tu, nne kwenda juu lazima mhandisi mchina...

Elimu ya India, China na Russia pata potea? You retarded?
Yaan maajabu ya dunia Tanzania iwe na elimu bora kushinda china
 
You must be outta your goddamn mind....

India, China na Russia wana elimu ya pata potea kuliko MUHAS, KCMC na St. Fransis ?

Referral zetu tunapeleka India...
Madaktari wa China na India wanakuja kufanya special operations wanasepa... Ushasikia India kuna kesi imewashinda huko wakamwita Mpare wa KCMC akawasaidie? Nyooooo!

Russia sayansi yao imepeleka watu mwezin back in the sixties...

Tembea Kariakoo, city center, kwenye meza za wauza vitabu kuanzia vya sekondari, vyuo, engineering, mathematics, medicine, sheria, ukicheki author, vimeandikwa na wahindi jamani... mpaka leo mpaka kesho...

halafu una balls za kukandya elimu yao mtu umekaa hapo kwenye computer unatumia software ambayo si ajabu ime code-iwa na mtoto wa kihindi... you are nuts!

... Wachina wanakuja kuwajengea majengo ya ghorofa nne hapa kwa sababu civil engineering ya UDSM inaishia ghorofa tatu tu, nne kwenda juu lazima mhandisi mchina...

Elimu ya India, China na Russia pata potea? You retarded?
Yaani wewe ndio huelewi unachokiongea na lugha yako chafu! Kwanza, umemuelewa kweli?
Ni vizuri kabla ya kuanza kushuka hiyo mistari ungemuelewa kwanza.

Hakusema elimu yao ni mbovu au hawatoi elimu bora... Ila alimaanisha kuna baadhi ya vyuo ni kwamba tu vipo nje lakini elimu zao ni chini kiubora ukilinganisha na vyuo kama MUHAS au KCMCo. Hiyo ndio maana ya "pata potea"

Angalia ranking ya medical colleges/universities, utaona kuna vyuo vingi vipo Russia, China, India ambavyo havifikii ubora wa vyuo vya Tanzania.
Unaonyesha ulimbukeni na kukosa uzalendo!
 
Yaani wewe ndio huelewi unachokiongea na lugha yako chafu! Kwanza, umemuelewa kweli?
Ni vizuri kabla ya kuanza kushuka hiyo mistari ungemuelewa kwanza.

Hakusema elimu yao ni mbovu au hawatoi elimu bora... Ila alimaanisha kuna baadhi ya vyuo ni kwamba tu vipo nje lakini elimu zao ni chini kiubora ukilinganisha na vyuo kama MUHAS au KCMCo. Hiyo ndio maana ya "pata potea"

Angalia ranking ya medical colleges/universities, utaona kuna vyuo vingi vipo Russia, China, India ambavyo havifikii ubora wa vyuo vya Tanzania.
Unaonyesha ulimbukeni na kukosa uzalendo!
tupe ushahidi Muhas kipo ranking ya ngapi duniani ili maneno yako yawe ya kweli
 
Kuna Google mkuu. Itakuwa rahisi... Fanya research mwenyewe
Nimeangalia katika vyuo bora 1500 duniani sioni chuo chochote kutoka Tz mpk nimechoka naona mataifa mengine that's why nimetaka unipe ww huo ushahidi hata hapa Africa Muhas 100 bora hayupo
 
You must be outta your goddamn mind....

India, China na Russia wana elimu ya pata potea kuliko MUHAS, KCMC na St. Fransis ?

Referral zetu tunapeleka India...
Madaktari wa China na India wanakuja kufanya special operations wanasepa... Ushasikia India kuna kesi imewashinda huko wakamwita Mpare wa KCMC akawasaidie? Nyooooo!

Russia sayansi yao imepeleka watu mwezin back in the sixties...

Tembea Kariakoo, city center, kwenye meza za wauza vitabu kuanzia vya sekondari, vyuo, engineering, mathematics, medicine, sheria, ukicheki author, vimeandikwa na wahindi jamani... mpaka leo mpaka kesho...

halafu una balls za kukandya elimu yao mtu umekaa hapo kwenye computer unatumia software ambayo si ajabu ime code-iwa na mtoto wa kihindi... you are nuts!

... Wachina wanakuja kuwajengea majengo ya ghorofa nne hapa kwa sababu civil engineering ya UDSM inaishia ghorofa tatu tu, nne kwenda juu lazima mhandisi mchina...

Elimu ya India, China na Russia pata potea? You retarded?

Binafsi nimewai kwenda na mgonjwa india.. hospital inaitwa fortis... niliyoyaona pale hospital nikajua bongo bado hatujaelimika na hatujui hospital inapaswa iweje na nurse anapaswa aweje na awe na ujuzi gani? Nurse india ana uelewa mkubwa kuliko hata daktari wa bongo...elimu yao ya ukweli sana
 
Back
Top Bottom