Mbona course ya M.D. haipatikaniki kwa hata vyuo kama ST Fransis nini tatizo?

Kimsingi safari hii kupata md imekuwa ni changamoto sana, sababu ya ushndani uliopo na vigezo kupunguzwa tofaut na zaman,, ukiwa na mtu mwenye ufaulu kama huo mkalishe chini mpe a, b, c.. kuna koz ziko kwenye market e. g radiology kama anataka kuitwa dokta anaweza kusoma DDS ila vijana hawajiongez, mtu anakarr md tu, sasa hapo acha akae mwaka mzima asubri hyo md mwakan akikosa tena atapagawa na akili itamkaa vzur ataenda hata kusoma beekeeping
 
Niliona kwa mdogo wangu kakosa kila chuo na wakati anaomba md ana DCB kwa comb ya PCB. Yaani hadi St fransis na kcmc wamemkataaa sasa huu niuite au?
MD sasa hivi mwanafunzi anatakiwa awe na 1.8 Below that hawezi pata kusoma MD. Tunarudisha heshima yetu ya zamani. Mwambie aanzie CO yaani diploma
 
Dogo amejitahidi...tatizo hiyo D ya physics mtihani kwa sasa....

Mfano MUHAS ukiwa na physics D kuchukuliwa ni ngumu mno...

Vp amejaribu na HUBERT KAIRUKI MU?!!
TCU ndo controller. Hata private lazima wachukue point 8 tu. Tofauti na zamani ambapo kila chuo kuliweka standard zake. Sasa hivi TCU ndo standard controller
 
TCU ndo controller. Hata private lazima wachukue point 8 tu. Tofauti na zamani ambapo kila chuo kuliweka standard zake. Sasa hivi TCU ndo standard controller
Shule...
Wazazi...
Watoto...

Ni lazima wajue kuwa zama zimebadilika...kwa vijana na wazazi wanaoASPIRE hizo kozi ni lazima WAACHE MAZOEA na wawekeze hasa tena hasa....tena mno katika ELIMU japo ni "bure"....
 
Jumbe Brown nimekupa tano lakini wewe ni mzinguaji. Wewe unajifananisha na wa vijijini, ambao maji ya kunywa ni ishu ndugu yangu. Kwanza apo tandale kuna soko kubwa la nafaka, unamzidi hata wa masaki kwa chakula na bei nafuuu. Chakula kinachukua nafasi kubwa sana ktk ufaulu wa mtoto yoyote vile. Uwezi ukawa una knowledge nzuri ya chakula utegemeee kizazi kijacho kiwe na Akili. Tumia Google. Tafuta vyakula vinavyosaidia kuongeza akili na uwe unamlisha mtoto wako kila siku, utakuja kutoa matoke chanya apa kwa Jamiii forum
Mkuu 😂😂😂

Sawa mtaalam wa LISHE....nimekupata kaka...sasa Kama ndivyo,je ni nini siri ya hawa watoto wa MASAKI wanaofaulu pale FEZA na kutwa kula AMERICAN CHIPS BURGERS PIZZA MAYYONAISE BROILERS na junk foods nyinginezo na wanaongoza kupasua AAA...

Tupe elimu Mtunduizi!!
 
Dah!
Naona mambo yamezidi kuwa tight sana hapa Tz. Vijana wanapiga kitabu fresh ili kufikia ndoto zao, lakini ushindani katika udahili unawatia nje ya ulingo. Hiyo ndio inaitwa survival for the fittest!

Hicho kilichompata huyo kijana kimewapata watu wengi sana mwaka huu na hata miaka ya nyuma. Huenda zaidi ya 90% ya vijana wanaosoma PCB ndoto zao huwa kuja kusomea udaktari (MD). Lakini ukweli mchungu ni kwamba huenda 10% tu ndio hufanikiwa na asilimia 80% huishia hewani.

Nini ushauri wangu?
Kijana akubali matokeo sasa, ajipange kwa kitu kingine au namna nyingine.
Kwa mfano kama suala la kusomea udaktari ni kufa na kupona kwake basi afikirie angle hii...
-Aanze kusaka vyuo vya nje ya nchi kama India, China, Russia. (Gharama yake nasikia Tution fee sio chini ya dola 2000 kwa mwaka, plus dola 2000 zingine kama living allowance kwa mwaka. Ubora wa elimu ni pata potea)
-Apige Diploma ya Medicine, mambo mengine mbele kwa mbele.

Tofauti na hapo, atafute kozi nyingine ambayo ataona inamfaa. Maisha lazima yasonge mbele iwe kiunyonge au kiubabe.
 
Dah!
Naona mambo yamezidi kuwa tight sana hapa Tz. Vijana wanapiga kitabu fresh ili kufikia ndoto zao, lakini ushindani katika udahili unawatia nje ya ulingo. Hiyo ndio inaitwa survival for the fittest!

Hicho kilichompata huyo kijana kimewapata watu wengi sana mwaka huu na hata miaka ya nyuma. Huenda zaidi ya 90% ya vijana wanaosoma PCB ndoto zao huwa kuja kusomea udaktari (MD). Lakini ukweli mchungu ni kwamba huenda 10% tu ndio hufanikiwa na asilimia 80% huishia hewani.

Nini ushauri wangu?
Kijana akubali matokeo sasa, ajipange kwa kitu kingine au namna nyingine.
Kwa mfano kama suala la kusomea udaktari ni kufa na kupona kwake basi afikirie angle hii...
-Aanze kusaka vyuo vya nje ya nchi kama India, China, Russia. (Gharama yake nasikia Tution fee sio chini ya dola 2000 kwa mwaka, plus dola 2000 zingine kama living allowance kwa mwaka. Ubora wa elimu ni pata potea)
-Apige Diploma ya Medicine, mambo mengine mbele kwa mbele.

Tofauti na hapo, atafute kozi nyingine ambayo ataona inamfaa. Maisha lazima yasonge mbele iwe kiunyonge au kiubabe.
... Exquisite!!
 
Mwambie aombe Kampala international university ya dsm, akikosa huyo ana gundu la MD
😂😂😂
Eti kuna mdau amesema humu kuwa TCU ndiyo iliyoset standards kwa vyuo vyote kuwa minimum entry qualifications ni 8 points...

Sijajua AUTHENTICITY ya hayo...
 
😂😂😂
Eti kuna mdau amesema humu kuwa TCU ndiyo iliyoset standards kwa vyuo vyote kuwa minimum entry qualifications ni 8 points...

Sijajua AUTHENTICITY ya hayo...
Soma hiyo picha ikiona yuko na vigezo ila hajapata jua kabisa nafasi zimejazwa na wenye A na B tupu
 

Attachments

  • 20201111_125029.png
    20201111_125029.png
    55.1 KB · Views: 6
MD sasa hivi mwanafunzi anatakiwa awe na 1.8 Below that hawezi pata kusoma MD. Tunarudisha heshima yetu ya zamani. Mwambie aanzie CO yaani diploma
Kwa mtu ambaye kapata G.P.A YA 4.0 c.linical medicine anaweza kucjaguliwa MUHAS M.D ?
 
Soma hiyo picha ikiona yuko na vigezo ila hajapata jua kabisa nafasi zimejazwa na wenye A na B tupu
Umemaliza, nilitaka kumpakulia hiyo guide ya TCU. Kiufupi wanahita point 6, yaani at least DDD (PCB).

Wadau wenzangu kama huna uhakika, acha kutoa data/ maelezo usioyajua. Sema hivi: Angalia guide lines ya TCU. Utakuwa sahihi zaidi, kuliko kusema eti cut point ni point 8. Si vizuri.
 
Umemaliza, nilitaka kumpakulia hiyo guide ya TCU. Kiufupi wanahita point 6, yaani at least DDD (PCB).

Wadau wenzangu kama huna uhakika, acha kutoa data/ maelezo usioyajua. Sema hivi: Angalia guide lines ya TCU. Utakuwa sahihi zaidi, kuliko kusema eti cut point ni point 8. Si vizuri.
Mkuu ndio maana Katika reply yangu nikasema sijajua AUTHENTICITY ya mdau(ameandika huko juu)alichosema...

Ninamshukuru Gachacha kwa kuweka sawa records!!

Kila la heri kwa madogo aamin,sisi tumeshasahau km tulisoma PCB na kumaliza M.D...maisha yanakwenda kasi mno!!
 
Mie na 1.9 meachana na hiyo MD tho ilkua ngumu kwangu ila ndo ivo

Naenda soma economics and finance naamin Mungu atansimamia uko mbele ya safar

Ni ngumu kujitune mind lakn mana inafika mahal naanza kulia kam pimbi

Ila maisha lazma yaendelee

Why usisome radiology ama degree ya nursing?
 
Mkuu hayo yote nlifanya et adi environmental health science nliapply ila ndo ivo nlikosa

Karma is bitch wallah

Kama mkopo huutegemei sana.. nenda makerere, university of malawi, university of rwanda, university of burundi.. ada zake ni kama Tanzania tu na zingine cheap kuliko tz.. na zipo juu sana kwenye ranking za university kuliko muhas.. kwa sababu ni flagship national university
 
Kama mkopo huutegemei sana.. nenda makerere, university of malawi, university of rwanda, university of burundi.. ada zake ni kama Tanzania tu na zingine cheap kuliko tz.. na zipo juu sana kwenye ranking za university kuliko muhas.. kwa sababu ni flagship national university
Hii ndo best option..kama kwel mtu anahtaj md, as long as qualifications according to tcu anazo
 
Hii ndo best option..kama kwel mtu anahtaj md, as long as qualifications according to tcu anazo

True degree ya university of ( country name) ina nguvu sana.. na unapata scholarship popote na kazi popote.. hata tcu wanaziogopa states university
 
Back
Top Bottom