Yuko pia mmoja upanga anae waweka viongozi wenu njini,kila siku wanaenda kuomba msaadaWahindi hawahawa wanao temea mate ndugu zetu na kuwa nyanyasa kariakoo? Au kuna wengine?
Ni wasomalia hawahawa wa aina ya Rage au kuna wengine?
hivi ni kwanini hakuna waziri hata mmoja mhindi au mwarabu pamoja na kuwa na wabunge wenye asili hiyo? Au ni kwanini hakuna polisi mhindi, kuna nini katika haya? Mamlaka ya uteuzi ina ubaguzi...
umezaliwa mwaka gani?
Ikusaidie nini wewe!!!??? How does the age applies to this? Little thinking capacity guy.
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?