Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Shida wahindi wengi ni wafanya biashara wakubwa,na wanapenda CCM kwani inawafichia madudu yao.
Ni kweli Mkuu Crashwise huwa nakomaa kwenye thread kama hizi halafu huwa haichukui round bila kupotezwa kila mwezi lazima niwe na ban ngoja na mimi nisepe nimechokahizi thread za namna hii usipo angalia ban ina kuhusu..ngoja nisepe.
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?
Yule mdhamini wa Chadema kutoka Kigoma Hassanali unamfahamu wewe? Halafu wanasema Chadema ni ya Wachaga mbona wewe upo CCM? Inaelekea wewe unawajua wanachama na viongozi wote wa Chadema.Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?
Dah, Wasomali siyoo....
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?
Huko kuna ubaguzi wa rangi, achilia mbali ukabila na udini.
Kusoma historia kuna faida yake! We hujui kilichofanya waarabu na hata wahindi waje Tanzania?!! Biashara, tena ya (hasa) ya Utumwa! Kwa hiyo waliopo hadi leo bado wako na element hizo na ndo maana wanajificha ccm ili wafanye biashara zao chafu "(utumwa)" smoothly. Chadema hakuna hizo!
Wahindi, wasomali, waarabu hawawezi kuwepo CHADEMA sababu hiki siyo chama cha MAFISADI SIYO CHAMA CHA MAJAMBAZI, SIYO CHAMA CHA WEZI, NA SIYO NCHAMA CHA MATAJIRI.
Hiki ni chama cha Watanzania, na ukiwa na sifa zisizo faa unatolewa..
Hao wahindi wako huko CCM sababu wanajuwa wataiba nk, nk, nk, kumbuka wahindi wengi ni wafanya biashara, huko CCM watafnya mambo yao kwa urahisi zaidi = kuwaibia watanzania walio wengi..wahindi wengi HAWALIPI KODI TRA INAVYOTAKIWA, WANAPIGANIWA NA CCM WASILIPE KODI nk, nk, nk..
India kuna weusi kuliko wewe. Labda useme mbantu bungeni ndio hakuna.uliza kwanza kama INDIA kuna Mbuge mweusi achilia mbali mtanzania, then ndo uje ulete hoja yako hapa