mi naona wizi wakubwa ni wazawa wenyewe, huyo mhindi aliingia akavunja benki kuu akaiba? Au alienda wizara akaiba? Wizi ni sisi wenyewe bana. Wahindi hawaendi CDM kwasababu wanajua ni chama cha kibaguzi na pia wameona CDM haina maendeleo.
wasomali na wahindi ni wezi sana haoa hawawezi kukihama chama tawala .. Wakiondoka tu huko watafungwa fungwa wote hao
RPC arusha miaka ya 90 , rashidi hemedi.Inashangaza hawa Wasomali, wahindi na warabu wanaonekana kwenye ubunge tu na siyo kwenye upolisi, uanajeshi, ualimu, ubwana shamba, misitu na fani kama hizo! Ni mashaka makubwa!
Baniani mbaya lakini kiatu chake dawa.Kama wahindi wezi mbona mnakuwa watumwa kwa Sabodo, anawapa viongozi wenu hundi kwa mkono wa kushoto huku kalala kwenye kochi, viongozi wenu wanacheka cheka tu.
Aise jibaba, bora hata ungeandika kiswahili tu. Yani wazungu wakiona hii wanaweza kufungua kesi ya kuwaharibia lugha yao.i will neveer commment on your comments from today. Im certainly sure now you are are a ,messenarie of of them! all!!! I have observeded u for more than than a 3 monhths peridod. you suerly are missing the point all the time. myabe intenisionally or maybe by acccident. Any hows!!!! Its pathetic thinkining*******************
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?