Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raiya wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa cdm mwenye asili ya kihindi au msomali.Je ni makusudi ya cdm au imetokea kwa bahati mbaya.?
mi naona wizi wakubwa ni wazawa wenyewe, huyo mhindi aliingia akavunja benki kuu akaiba? Au alienda wizara akaiba? Wizi ni sisi wenyewe bana. Wahindi hawaendi CDM kwasababu wanajua ni chama cha kibaguzi na pia wameona CDM haina maendeleo.wasomali na wahindi ni wezi sana haoa hawawezi kukihama chama tawala .. Wakiondoka tu huko watafungwa fungwa wote hao
muhindi hafati chama wewe, chama kinamfata muhindi. Au huoni viongozi wenu wanavyo vizia pale upanga kwa sabado.Wewe umeona wapi mhindi anakaa Tandika, Gongo La mboto, Kimara au Chanika? hao wanajua palipo na usalama kwao.Subiri 2015 utawakuta M4C LIVE bila chenga.
unataka kusema wote walioko CDM hawana biashara? Mbona zao hazikufungwa?Ccm itawafungia biashara zao,pia cdm ni sehemu kujitoa zaidi.
Sio za ujanjaujanja ki hivyo na hati mbilimbili za kukimbia nchi.unataka kusema wote walioko CDM hawana biashara? Mbona zao hazikufungwa?