Mbolea ni zaidi ya kilio kwa mkulima

NUHWAHI

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
303
463
Nipo mbinga. Mbolea zinapatikana wilayani tu kwa wakala mmoja. Ni taabu tupu kuzipata.

Nina siku tatu naunguza nauli nakutana na foleni ya waliojiandikisha toka mwezi ulopita.

Tumerudi zama za kupanga foleni kupata sabuni duka la kijiji. Rushwa ni elfu 2 kwa kila mfuko wa mbolea. Mwenye maji ya kunywa anapata chap anatembea.

Mkulima wa bustani na anahitaji kilo 50 tu za mbolea hawez kuzipata.

Hakuna anayeshtuka. Kwa hili la mbolea watu wanakula zaidi ya urefu wa kamba.

Nakutana na jirani yangu amepiga kambi wiki 3 na hajaambulia chochote. Mboleaaaaaaa, mboleaaaa, mboleaaaaaaaaa.

TUAMBIE HALI IPOJE KWENU.
 
Si mchezo, kilimo mwaka huu ni kichekesho. Watu wamelipia hela na mbolea wanapata kwa shda. It might be kalyinda in new version.

TUNAOMBA WARUHUSIWE WAUZAJI WA BEI ZAO TUTAJIKAKAMUA KUNUNUA.
 
Hapo huwezi kusikia watu wa mitandaoni wakimtetea mkulima ila chukula kikipanda watashuka Kama mwewe
Kwa mbolea za safari hii.. kila mmoja anaenda kulia kwa lugha yake 2023... Hata mlima nyanya hazioni zilipo... Hahahahahaaaa.. ... ..
 
Niko hapa Kibondo, nimeona foleni kubwa sana sana ya Watu, kuuliza wanasema ni foleni ya Mbolea, unaambiwa Watu wanalala hapo hapo. What a shame
 
Niko hapa Kibondo, nimeona foleni kubwa sana sana ya Watu, kuuliza wanasema ni foleni ya Mbolea, unaambiwa Watu wanalala hapo hapo. What a shame
Na wamepiga marufuku mtu kuuza pasipo ridhaa yao (ruzuku)... aliyezipata huko anauza kwa elfu4 hadi 3 kwa kilo... Anapata 150 K kwa mfuko wa 50kg
 
Nipo mbinga. Mbolea zinapatikana wilayani tu kwa wakala mmoja. Ni taabu tupu kuzipata.

Nina siku tatu naunguza nauli nakutana na foleni ya waliojiandikisha toka mwezi ulopita...
Tunavyo viwanda vya mbolea ya mboji au hizo wakulima hawazitaki?
 
Zinapatikana kwa wakala nani?

Nasikia kwa swai wanauza laki 1+

Hizo za foleni ndiyo hiyo 60/70+
 
Unatokea kigombi??

Pangeni foleni wa 2000 ya maji tukija tunapita tu,

jiongeze
 
Yani hii nchi ina raia wapole sana ingekua nchi nyingine hapa ingeshatokea vita kabisa yani.
Mwakani mwezi wa kwanza hadi 6 tutatafutana
 
Nipo mbinga. Mbolea zinapatikana wilayani tu kwa wakala mmoja. Ni taabu tupu kuzipata.

Nina siku tatu naunguza nauli nakutana na foleni ya waliojiandikisha toka mwezi ulopita...
Sehemu kubwa iko hivyo lakini je Miaka ya hapo Awali kwani mlikuwa mnanunua wapi?
 
Sehemu kubwa iko hivyo lakini je Miaka ya hapo Awali kwani mlikuwa mnanunua wapi?
Una matatizo ya akili wewe, Mara nyingi nakuambiaga wewe ni mpumbavu mkubwa.

Miaka mingine mbolea iliuzwa kwenye maduka ya pembejeo, mwaka huu kwa sababu ya mbolea kupanda mara mbili ndio wizara ikaja na hili la mbolea ya ruzuku ambayo utaratibu wa Kuuzwa ndio upo hivyo.
 
Mbolea ziliuzwa na yeyote mwenye mtaji. Kama tu ilivyo saruji (cement)... Mpaka vijijini zilitapakaa
 
Back
Top Bottom