Mbolea bei juu, maagizo ya Waziri wa Kilimo kuhusiana na kushushwa kwa bei ya mbolea yamepuuzwa?

Bushmamy

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
8,847
15,252
Mbali na tamko la waziri la waziri wa kilimo Mh. Hussein Bashe kutoa bei elekezi ya mbolea kuwa ifikapo tarehe 15/08/22 maduka yote nchini yanayouza pembejeo za kilimo yawe yameshusha bei ya mbolea na kuuza kwa bei elekezi ya serikali ili kumpatia nafuu mkulima.

Lakini hadi sasa. Wafanyabiashara wamegoma kushusha bei kwa kuuza kwa bei elekezi waliyopangiwa na serikali kama ifuatavyo:

Mbolea ya Urea kg ni sh 60,000
NPK kg 50 ni sh 70,000
CAN kg 50 ni sh m60, 000
Lakini hadi sasa mbolea hizo zimekuwa zikiuzwa kati ya sh 145,000 na kuendelea.

Baadhi ya wakulima ambao wameenda maduka ya kilimo kwa ajili ya. Kujipatia mbolea kwa ya ruzuku iliyopangwa na serikali na kukuta bado bei ya mwanzo ndio ipo madukani wamelalamikia kitendo hicho cha wafanyabiashara kuivimbia serikali na kufanya wanavyotapanya wao.
 
Hela za ruzuku huwa wanapita nayo hizo habari huwa zinasikika tu majukwaani
 
Hapana acha upotoshaji hapa, Hata Mimi Ni mkulima na ninayeendelea kuiunga mkono serikali ya mh Rais wetu kutokana na juhudi kubwa za kutukwamua kiuchumi

Utaratibu uliopo na tulioufanya huku kwenye vijiji na vitongoji vyetu Ni kwamba tulikuwa tunakwenda na kitambulisho Cha Taifa au Cha mpiga kura halafu tunajiandikisha majina ikiwepo kutaja idadi ya heka ulizo nazo na unazotarajia kulima na aina ya zao,

Baada ya hapo Kuna sms zilizokuwa zinatumwa kupitia mfumo ambazo zilikuwa zinaleta ujumbe wa sms ikiwa imetaja jina lako, eneo unaloishi yaani mtaa au kitongoji pamoja na namba ya Siri ambayo unasisitizwa kupitia sms hiyo kuwa uitunze usiifute na Wala usimpe mtu,

Sms hiyo Mimi tayari nilishaletewa nacho subiri kwa Sasa nikuendelea kutafuta hela ili nikipata niende dukani ambako Hadi Sasa nafahamu mbolea hizo zipo na zinapatikana kwa Bei elekezi

Jambo unalopaswa kufahamu Ni kuwabhao watu wako ni lazima wawe walijiandikisha na wawe na sms hiyo niliyo kwambia

Kama hawakujiandikisha kwa dharau zao au kudanganyana na kupotoshana au kupuuzia wakati sisi tunajiandikisha Basi wasianze kupeleka lawama kwa mh Rais wetu mpendwa aliyeamua kutujari wakulima hasa sisi vijana,

Kama waliandikisha na wakaletewa sms nayoisema halafu wakanyimwa mbolea kwa Bei elekezi naomba uweke ushahidi wa sms hiyo tujuwe sote hapa
 
Yeye kwa akili yake anafikiria kuwa sasa duka lolote lile mtu unaenda tu na kununua mbolea kwa bei ya ruzuku kama vile unaenda kununua sukari.
 
Yeye kwa akili yake anafikiria kuwa sasa duka lolote lile mtu unaenda tu na kununua mbolea kwa bei ya ruzuku kama vile unaenda kununua sukari.
Pole walio kwenye industry hiii wanajua jamaa kandika nini ila wwe undelea kuimba mapambio
 
Hapana acha upotoshaji hapa, Hata Mimi Ni mkulima na ninayeendelea kuiunga mkono serikali ya mh Rais wetu kutokana na juhudi kubwa za kutukwamua kiuchumi

Utaratibu uliopo na tulioufanya huku kwenye vijiji na vitongoji vyetu Ni kwamba tulikuwa tunakwenda na kitambulisho Cha Taifa au Cha mpiga kura halafu tunajiandikisha majina ikiwepo kutaja idadi ya heka ulizo nazo na unazotarajia kulima na aina ya zao,

Baada ya hapo Kuna sms zilizokuwa zinatumwa kupitia mfumo ambazo zilikuwa zinaleta ujumbe wa sms ikiwa imetaja jina lako, eneo unaloishi yaani mtaa au kitongoji pamoja na namba ya Siri ambayo unasisitizwa kupitia sms hiyo kuwa uitunze usiifute na Wala usimpe mtu,

Sms hiyo Mimi tayari nilishaletewa nacho subiri kwa Sasa nikuendelea kutafuta hela ili nikipata niende dukani ambako Hadi Sasa nafahamu mbolea hizo zipo na zinapatikana kwa Bei elekezi

Jambo unalopaswa kufahamu Ni kuwabhao watu wako ni lazima wawe walijiandikisha na wawe na sms hiyo niliyo kwambia

Kama hawakujiandikisha kwa dharau zao au kudanganyana na kupotoshana au kupuuzia wakati sisi tunajiandikisha Basi wasianze kupeleka lawama kwa mh Rais wetu mpendwa aliyeamua kutujari wakulima hasa sisi vijana,

Kama waliandikisha na wakaletewa sms nayoisema halafu wakanyimwa mbolea kwa Bei elekezi naomba uweke ushahidi wa sms hiyo tujuwe sote hapa
Lengo la kujiandikisha na nini? Vip Kwa wakulima wazee na wasio na simu? Na je ni wakulima wote wenye hivyo vitambulisho?
Na je maagizo ya waziri yalikuwa ni kila mkulima apate mbolea kwa bei elekezi ya serikali au ni kuwa hadi uwe na kitambulisho maalumu ndo upate mbolea,
Na mbona bidhaa nyinginezo serikali ikipandisha bei haitaji Mwananchi kwenda na kitambulisho kujiandikisha kwa ajili ya kupata huduma hiyo?
 
 
Hakuna kitakachotekelezwa kwa sasa nchi imeshakua ya makambale hii.

Kila mtu anajiamulia jambo lake na hasa linalompa faida yeye.
 
Hapana acha upotoshaji hapa, Hata Mimi Ni mkulima na ninayeendelea kuiunga mkono serikali ya mh Rais wetu kutokana na juhudi kubwa za kutukwamua kiuchumi

Utaratibu uliopo na tulioufanya huku kwenye vijiji na vitongoji vyetu Ni kwamba tulikuwa tunakwenda na kitambulisho Cha Taifa au Cha mpiga kura halafu tunajiandikisha majina ikiwepo kutaja idadi ya heka ulizo nazo na unazotarajia kulima na aina ya zao,

Baada ya hapo Kuna sms zilizokuwa zinatumwa kupitia mfumo ambazo zilikuwa zinaleta ujumbe wa sms ikiwa imetaja jina lako, eneo unaloishi yaani mtaa au kitongoji pamoja na namba ya Siri ambayo unasisitizwa kupitia sms hiyo kuwa uitunze usiifute na Wala usimpe mtu,

Sms hiyo Mimi tayari nilishaletewa nacho subiri kwa Sasa nikuendelea kutafuta hela ili nikipata niende dukani ambako Hadi Sasa nafahamu mbolea hizo zipo na zinapatikana kwa Bei elekezi

Jambo unalopaswa kufahamu Ni kuwabhao watu wako ni lazima wawe walijiandikisha na wawe na sms hiyo niliyo kwambia

Kama hawakujiandikisha kwa dharau zao au kudanganyana na kupotoshana au kupuuzia wakati sisi tunajiandikisha Basi wasianze kupeleka lawama kwa mh Rais wetu mpendwa aliyeamua kutujari wakulima hasa sisi vijana,

Kama waliandikisha na wakaletewa sms nayoisema halafu wakanyimwa mbolea kwa Bei elekezi naomba uweke ushahidi wa sms hiyo tujuwe sote hapa
Wewe chawa umedharauliwa kwa kasi sana hapa JF , hakuna anayekuamini
 
Hapana acha upotoshaji hapa, Hata Mimi Ni mkulima na ninayeendelea kuiunga mkono serikali ya mh Rais wetu kutokana na juhudi kubwa za kutukwamua kiuchumi

Utaratibu uliopo na tulioufanya huku kwenye vijiji na vitongoji vyetu Ni kwamba tulikuwa tunakwenda na kitambulisho Cha Taifa au Cha mpiga kura halafu tunajiandikisha majina ikiwepo kutaja idadi ya heka ulizo nazo na unazotarajia kulima na aina ya zao,

Baada ya hapo Kuna sms zilizokuwa zinatumwa kupitia mfumo ambazo zilikuwa zinaleta ujumbe wa sms ikiwa imetaja jina lako, eneo unaloishi yaani mtaa au kitongoji pamoja na namba ya Siri ambayo unasisitizwa kupitia sms hiyo kuwa uitunze usiifute na Wala usimpe mtu,

Sms hiyo Mimi tayari nilishaletewa nacho subiri kwa Sasa nikuendelea kutafuta hela ili nikipata niende dukani ambako Hadi Sasa nafahamu mbolea hizo zipo na zinapatikana kwa Bei elekezi

Jambo unalopaswa kufahamu Ni kuwabhao watu wako ni lazima wawe walijiandikisha na wawe na sms hiyo niliyo kwambia

Kama hawakujiandikisha kwa dharau zao au kudanganyana na kupotoshana au kupuuzia wakati sisi tunajiandikisha Basi wasianze kupeleka lawama kwa mh Rais wetu mpendwa aliyeamua kutujari wakulima hasa sisi vijana,

Kama waliandikisha na wakaletewa sms nayoisema halafu wakanyimwa mbolea kwa Bei elekezi naomba uweke ushahidi wa sms hiyo tujuwe sote hapa
Acha kuleta siasa kwenye maisha ya watu.
 
Back
Top Bottom