wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,104
Pia tunataka wamwidhinishe mwamba Mbowe kuwa mwenyekiti wa maisha. Hakuna haja ya uchaguzi wa mwenyekiti Taifa kama ilivyo huko CCM. Kama ni demokrasia ya uchaguzi wa mwenyekiti Taifa peleka huko huko CCMLeo chama kikuu cha upinzani CHADEMA kitakuwa na Kikao cha Kamati kuu ambacho kimeitishwa kwa mujibu wa Katiba.
Tunategemea kusikia mambo mengi mazuri kutoka ndani ya kikao hicho na tunaamini CHADEMA itabaki kuwa moja na haitaruhusu biashara ya " Makundi" kama kule Lumumba.
Mungu wa Mbinguni ibariki CHADEMA!