Ambao wazazi wao wanauwezo watawapeleka private makapuku ndio hivyo tena.Mimi tu nawasikitikia sana watoto wa Darasa la Saba, wamefutiwa mitihani na hawajui wafanyeje
Tafuta gazeti la Mwananchi toleo la leo tarehe 4Mhe. Waziri wa Afya kupitia vyombo vya habari alituhabarisha kuwa mbivu na mbichi wa wizi wa mitihani ya Afya itajulikana Jumatatu iliyopita ya wiki hii. Ninauliza, Je Mhe. Waziri wa Afya amekwishatoa taarifa hii kupitia vyombo vya habari?.
Huu utitiri wa vyuo ndio unaleta yote haya,vyuo vingi vinafanya biashara wanajazana tu GPANampongeza sana kwa kuifuta mitihani...tena ilitakiwa avifutie usajili hivyo vyuo uchwara....mtu anamaliza chuo kwa kozi ya nursing au co hajui hata kuchoma sindano ya i.m....kituko zaidi mwambie achome i.v bila kuweka cannular hapo ndio utaishiwa pozi.
Tayari taarifa ya utaratibu wa kurudia mtihani imeshatolewa.Waziri wa Afya kupitia vyombo vya habari alituhabarisha kuwa mbivu na mbichi wa wizi wa mitihani ya Afya itajulikana Jumatatu iliyopita ya wiki hii.
Ninauliza, Je, Waziri wa Afya ametoa taarifa hii kupitia vyombo vya habari?
Tafuta gazeti la Mwananchi toleo la leo tarehe 4
nchi nzima?Mimi tu nawasikitikia sana watoto wa Darasa la Saba, wamefutiwa mitihani na hawajui wafanyeje
Watu tumesoma kozi hizi tena kwa ueledi mkubwa ...kazi hatupati kwa sababu kazi zenyewe zinachukuliwa na hawa wanafunzi walioiba mitihani.....ushenzi mtupuTayari taarifa ya utaratibu wa kurudia mtihani imeshatolewa.
Watoto 393, mmojawapo ananiita babu. Na alikuwa anasomea shule ya ada karibu 2.5mil kwa mwaka.nchi nzima?
Pole sana mkuu.Watoto 393, mmojawapo ananiita babu. Na alikuwa anasomea shule ya ada karibu 2.5mil kwa mwaka.
kwa kweli imeuma sana moyo wangu
Kwahiyo wanarudia mitihani auTafuta gazeti la Mwananchi toleo la leo tarehe 4