Zimeishia pale pale kama za wale waliowataja zilipoishia...kwa maneno mengine, majina yametajwa na kitakachofuatia hakuna. CCM na Kikwete watachaguliwa tena kwa asilimia kubwa tu. Anayebisha na asubiri aone....hamna haja ya kuandikia mate wakati wino upo. 2010 sio mbali...