Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,142
- 13,216
Najaribu Kufanya Upembuzi yakinifu wa Historia ya Uraus kwa nchi mbili za Malawi na Zambia
Je Joyce Banda naye ataangushwa?
- Rais wa Kwanza wa Malawi ni Hans Kamuzu Banda, wa Zambia ni Keneth Kaunda (inasermekana wote wana asili ya Malawi)
- Baada ya Banda alifuatia Bakili Muluzi, Kwa Zambia akafuata Chiluba Fredrik mabaye alibadili Katiba kumwambia KK arudihswa vitu vyote alivyovipata akiwa Rais wa ZAMBIA
- Bakili hatimaye alimteua Bingu wa Mutharika, ilihali Chiluba alimuibua Levy Mwanawasa
- Bingu wa Mutharika alijua kumgeuka Bakili Muluzi, ilihali Levy Mwanawasa alimgeuka Chiluba
- Bingu, Chiluba na Mwanawasa wote ni Marehemu
- Baada ya Levy kufariki, alifuata Rupia Banda (inasemekana ana linage ya Banda the I wa Malawi) kama Rais wa Mpito nchini Zambia ambaye aliangushwa kwenye uchaguzi na Michael Sata, Baada ya Bingu ameshika Joyce Banda kama Rais wa Mpito
Je Joyce Banda naye ataangushwa?