Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,384
- 26,733
Umuofia kwenu!
Kuuliza ni kujifunza, hatutajua kitu ila kwa kuhoji na kudadisi. Naombeni nanyi mlione hili:
Tangu dirisha limefunguliwa, so far tumeshuhudia vyama viwili tu ulingoni, CCM na CHADEMA.
Cha kustaajabisha ni hiki:
CCM tunaona watia nia wakichukua fomu, kimya kimya bila hotuba wala risala, kisha haooo kwenda kusaka wadhamini.
CHADEMA tunaona hotuba ndefu, tena mbele ya wanahabari, lakini hatuoni fomu!
Je, ni mimi tu ndo sielewi utaratibu au namna gani?
Hebu nitoeni gizani!
Kuuliza ni kujifunza, hatutajua kitu ila kwa kuhoji na kudadisi. Naombeni nanyi mlione hili:
Tangu dirisha limefunguliwa, so far tumeshuhudia vyama viwili tu ulingoni, CCM na CHADEMA.
Cha kustaajabisha ni hiki:
CCM tunaona watia nia wakichukua fomu, kimya kimya bila hotuba wala risala, kisha haooo kwenda kusaka wadhamini.
CHADEMA tunaona hotuba ndefu, tena mbele ya wanahabari, lakini hatuoni fomu!
Je, ni mimi tu ndo sielewi utaratibu au namna gani?
Hebu nitoeni gizani!