Nancheto, kwanza karibu jf, pili ndugu yetu Nancheto, acha 'ncheto' usije kupata 'nchecheto' bure!.Ni dhahiri kwamba tetesi za mbio za urais 2015 zimetawaliwa na majina mengi ya watu wa bara,Je sarakasi zilizomwengua Dr.Salim 2005 zitavumiliwa na wazanzibar au ndiyo ukomo wa muungano?