Jee una chuki binafsi na JK?
Timtim,
Ungeniuliza mimi hilo swali ningekujibu ndiyo. Tanzania si nchi ya utawala wa kifamilia.
Jee una chuki binafsi na JK?
unatisha mwalimu...usafi na uchafu na udhaifu wa salma niulizeni mimi niliekaa nae pale mnarani kwa babu kushoto(marehemu moledina) na pia nikasoma nae liseco kisha nachingwea ttc namjua hasa! Hawezi kukosa mpinzani lakini loo!! Kweli pesa zinavunja milima.