BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Jana nimesoma magazeti mawili yamenifurahisha sana
sana labda kabla ya kuendelea nauliza hii nec ni nini hasa...naona according to magazeti ya jana
nahisi kuna ukoo fulani uko ndani ya nec...
Mtanzania
salma kikwete apita lindi nec bila kupingwa
mwananchi
riziwan kikwete apita bagamoyo bila kupingwa nec:
sasa hii ndio ilionimaliza kabisa nikumalizie akitangaza matokeo ya bagamoyo
mwenyekiti wa wa wilaya ya ccm bagamoyo mh "yussuf kikwete"" uwiiiiiiii
alitangaza mshindi ni riziwan kikwete baada ya aliekuwa akishindana nae kujitoa
nasubiri ukoo wa kawawa, na wengineo naona uko ndani kuna mambo mazuri sio hivi hivi
aiwezekani baba mama mtoto wanganganie sehemu moja nahisi kaama kuna viti maalum
sitoshangaa kusikia yule craizy wetu m...kikwete nae amechaguliw akuingia kama vit maaalum
sana labda kabla ya kuendelea nauliza hii nec ni nini hasa...naona according to magazeti ya jana
nahisi kuna ukoo fulani uko ndani ya nec...
Mtanzania
salma kikwete apita lindi nec bila kupingwa
mwananchi
riziwan kikwete apita bagamoyo bila kupingwa nec:
sasa hii ndio ilionimaliza kabisa nikumalizie akitangaza matokeo ya bagamoyo
mwenyekiti wa wa wilaya ya ccm bagamoyo mh "yussuf kikwete"" uwiiiiiiii
alitangaza mshindi ni riziwan kikwete baada ya aliekuwa akishindana nae kujitoa
nasubiri ukoo wa kawawa, na wengineo naona uko ndani kuna mambo mazuri sio hivi hivi
aiwezekani baba mama mtoto wanganganie sehemu moja nahisi kaama kuna viti maalum
sitoshangaa kusikia yule craizy wetu m...kikwete nae amechaguliw akuingia kama vit maaalum