Mbio za uongozi CCM: Sumaye amuengua Nagu, Mama Salma Hana mpinzani Lindi, UWT Dar moto......

Itakuwa aibu sana kwa mke wa Raisi kuwa mjumbe nec kwenye Jimbo linalo ongozwa na mpinzani!
 
Mke wa Rais, Salma Kikwete amerudisha fomu ya kuwania ujumbe wa Nec Taifa kupitia Wilaya ya Lindi Mjini.
Katibu wa CCM Wilaya ya Lindi Mjini Mohamed Kateva, alisema jana kwamba Salma ni
mgombea pekee aliyejitokeza kuwania nafasi hiyo katika wilaya yake.

Kateva alisema mwisho wa kurudisha fomu ilikuwa Agosti 28, mwaka huu na mpaka tarehe hiyo hakukuwa na mtu mwingine aliyekuwa amejitokeza kuwania nafasi hiyo.


Nepotism
 
Huyu mama na siasa wapi na wapi? Kuwa mke wa mwanasiasa hakumfanyi mtu kugeuka mwanasiasa. Nani amesahau alivyokuwa anatetemeka akisoma risala zake siku za mwanzo? JK aking'oka na yeye kwisha.
Amekaa ikulu amejifunza siasa, hujui kuwa mlamba asali halambi mara moja!!
Anataka japo aje aambulie kaubunge si unajua mzee ndio bye bye!! Mama ameona kwa Tanzania hata yeye anaweza!
 
Wana pesa na marupurupu ya kuwawezesha kuishi bila kufilisika mpaka wajukuu na vitukuu, just from government na haitoshi wanabiashara karibu kila mahali hapa nchini kwa mgongo wa riz1 na marafiki, bado family yote wanataka madaraka?? shame on THEM.
 
Hivi Mama Maria alikuwa naye M NEC ? Na Mama Mkapa je alikuwa nani ? Ama kweli CCM ina mambo mengi baada ya hapo watasema Chadema ya ukoo ?

Mbona series yako imeruka first lady wa awamu ya pili?kama umesahau mama siti naye hakua mjumbe wa nec
 
Sijui hata nieleze vipi hii ya mama salma kugombea ujumbe wa NEC, kwa ufupi hajawatendea haki watu wa lindi pamoja na watanzania. Nchi wanaigeuza kuwa ya kifalme hii!
 
....Wakibadilishe jina tu na kukiita chama cha vikwete. Ana wadhifa mkubwa kama first lady lakini haukumtosha mpaka naye ajiingize kwenye siasa!!! Tamaa hizi mbaya sana!!!


BAK ulishakutana na nani ukasikia kuwa yeye fedha zimetosha??? Hahitaji zaidi??? But is it true kwamba its all about benjaminz??? I dont think so!! There is a hidden agenda, koz these guyz r wrong doers so i guess this move is a protection mechanism towards who to plant back Magogoni!!! Who will cover for them, who will never Backdoor them No matter what!!! To plant such a person u dont need a man in the inside but u need to be inside!!!
 
Guninita huyu ndo aliyekuwa upinzani miaka michache hapo nyuma? Ama ni mwingine?
 
Marehemu Bibi Titi Mohamad aliwahi toa ushuhuda juu ya Mama Maria Nyerere...... Baada ya Uhuru wa Tanganyika Hayati Mwl Nyerere aliwapa jukumu la kuanzisha Jumuia ya Wanawake wa Tanganyika waliopigania Uhuru......baada ya kuaanda katiba, walipendekeza Maria Nyerere awe rais wa kwanza.......Hayati Mwl Nyerere alikuwa mkali kama mbongo, aliwaambia asiwasikie tena, maria nyerere ni mkewe, tena aliwaambia yeye ndiye aliyepigania uhuru, sio mke wake, hivyo msimamo ukabaki hivyo mpaka alipostaafu mama Maria wala mwanae hawakuwahi jihusisha na siasa za Tanzania! huu ndio msimamo wa viongozi safiiiiiiiiii


Hivi Mama Maria alikuwa naye M NEC ? Na Mama Mkapa je alikuwa nani ? Ama kweli CCM ina mambo mengi baada ya hapo watasema Chadema ya ukoo ?
 
naamini katika hiyo kanuni walengwa wakuu ni wagombea wenye hadhi ya Uwaziri kama Mary Nagu.....So wabunge wataruhusiwa tu...Huo ni mkakati wa EL
 
Hii kanuni inawabana mawaziri/naibu mawaziri na wakuu wa mikoa/wilaya ... wabunge ni ruksa kugombea.

Mkuu mimi nawashangaa, kama wanazijua kanuni za Chama Chao, na wao ndo walizipitisha, kwa nini Mawaziri wamekimbilia kugombea?? Kweli vyeo vya nchi hii vinakimbiliwa kwa sababu ya ulaji tu na si kwa maslahi ya wananchi. Shame on you CCM. Jiulize Mama Salma Kikwete nae anatafuta nini kule? Kwa kitu gani zaidi? Yani hiki kilimeishakuwa Chama Cha Kurithishana Uongozi bila hata kuangalia vigezo.
 
Hivi Mama Maria alikuwa naye M NEC ? Na Mama Mkapa je alikuwa nani ? Ama kweli CCM ina mambo mengi baada ya hapo watasema Chadema ya ukoo ?
Inashangaza sana,mtoto RITZ 1naye mjumbe wa NEC,Mama naye anataka ujumbe wa NEC,ukoo mzima unataka uishie kwenye NEC,nadhani kuna kitu wanafaidi uko
 
Kama kuna vichekesho ndani ya maudhi ni kusema eti Salma kakosa mpinzani. Hizi ni siasa za kinafiki nakujipendekeza na kamwe hazilisaidii taifa bali kikundi cha 'wateule' wachache tu. Ana lipi la kusema wakati hata hotuba ya kuandikiwa hushindwa kusoma?
 

Salma akosa mpinzani Lindi

Katika hatua nyingine Mke wa Rais, Salma Kikwete amerudisha fomu ya kuwania ujumbe wa Nec Taifa kupitia Wilaya ya Lindi Mjini.

Katibu wa CCM Wilaya ya Lindi Mjini Mohamed Kateva, alisema jana kwamba Salma ni mgombea pekee aliyejitokeza kuwania nafasi hiyo katika wilaya yake.

Kateva alisema mwisho wa kurudisha fomu ilikuwa Agosti 28, mwaka huu na mpaka tarehe hiyo hakukuwa na mtu mwingine aliyekuwa amejitokeza kuwania nafasi hiyo.

Ridhi-1 nae huko Bwagamoyo nae anasema hivi;
"Nawashukuru wajumbe wote wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bagamoyo kwa kuniamini na kunipitisha kuwa mgombea wa ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama (NEC) kwa wilaya ya Bagamoyo tarehe 28 Septemba. Naahidi kufanya kazi kwa ushirikiano wa hali ya juu katika kuimarisha chama. Natoa shukrani zangu kwa kuonyesha imani kubwa kwangu na ninaahidi kuwa nitatumikia na si kutuma. Naamini hiyo ndiyo sifa kuu ya kiongozi na sifa inayostahili."

Kwa kweli siasa za Tz tamu sana.
 
Hizo ni taratibu za kawaida ndani ya chama. Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi.
ZeMarcopolo , nini kauli yako kuhusu hiyo kanuni iliyotumika kumuengua Dr Nagu? Imetafsiriwa inavyopaswa? kwa kuwa idadi ya wanaCCM wanaogombea nafasi hizo bila kujali uwepo wa kanuni hiyo, je unadhani kanuni hiyo imeelewa vyema miongoni mwa wanaCCM? Mhe Nnauye Jr najua huwa unapita humu unaweza kufafanua vizuri mambo haya hasa kanuni hiyo ilivyotumika kumuengua Dr Nagu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi inakuwa ubunge na uwaziri uonekane kuwa kazi za kila siku, wakati uraisi sio?
Kama wanawaengua wabunge na mawaziri, basi wamuengue na raisi kugombea nafasi yeyote ya uongozi chamani...
 
CCM ni chama cha kifalme hasa katika muhula wa huu wa kikwete. Jana nilisoma gazeti moja kama sim tanzaniadaima ni mwananchi kuwa ridhiwani huko pwani kapita bila kupingwa hana mpinzani haya leo teno nasoma hapa salma kikwete lindi kapita bila kupingwa.

Jamani hata ukitumia akili fupi tu hivi kweli ujumbe wa nec unavyowapasua watu vichwa huko mawilayani watu waliokuwa wanasaidiana katika harakati za kisiasa leo ndo wapinzani katika kinyang'anyiro hiki eti wengine wamepita bila kupingwa na wote wana mahusiano na rais ambae ni mwenyekiti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom