Nani anaona jinsi ambavyo CCM imeanza kuhaha kushoto kulia kufuatia baraghumu la uchaguzi kumng'oa gwiji la ufisadi nchini, Rostam Aziz, na kule wao kupata fununu kuhusu kambi zima ya upinzani nchini pamoja wanaharakati kushirikiana kule Igunga?????????????
Shughuli pevu kwa CCM Igunga kutetea kiti chake!!!!!!!!!! Kifo cha CCM kutangaziwa Igunga hivyo HATUTEGEMEI TENA KUONA mikono ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama VIKITUCHAGULIA mwakilishi wa Igunga kama ambavyo ilivyowahi kulalamikiwa kwingineko huko nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.