Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Kati ya vitu vinavyotupa umoja na mshikamano na kuchochea maendeleo ni Mwenge wa Uhuru. Kazi Iendeleeee! Mwenge wa Uhuru unawashwa tarehe 17 Mei 2021 huko Makunduchi na Utazimwa Wilayani Chato Mkoani Geita mwezi wa kumi.
Asante Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, Rais makini mwenye kufuata philosofia za Mwl Nyerere (ili tuendelee tunahitaji watu, kazi, siasa safi na uongozi bora)
Kazi Iendeleeee!!
Asante Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, Rais makini mwenye kufuata philosofia za Mwl Nyerere (ili tuendelee tunahitaji watu, kazi, siasa safi na uongozi bora)
Kazi Iendeleeee!!