Hii itakuwa kali...Yaani mwenge uzimwe siku ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru!Zitakuwepo, inasemekana zimechelewesha ili wakati wa kuzimwa mwenge iwe siku ya kusherehekea miaka 50 ya uhuru!
Kama hautakuwepo itapunguza maambukiziMbio za mwenge na kasi ya maambukizi ya ukimwi vijijini!
Wapendwa wanaJF, kuna habari kuwa mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2011 hazitakuwepo. Naombwa kujuzwa: Je tetesi hizi ni za kweli na kama ni kweli ni kwa sababu zipi za msingi ikiwa WATANZANIA tunakwenda kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru wetu?
Nina mshukuru Mungu kama huo mwenge umefutwa na hizo mbio zake kwani hauna tija kwa sisi watanzania,Tujiuliza unapopita na kutumulika nini kinatokea kama sio laana ya kuongezeka kwa mafisadi nguli.Wapendwa wanaJF, kuna habari kuwa mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2011 hazitakuwepo. Naombwa kujuzwa: Je tetesi hizi ni za kweli na kama ni kweli ni kwa sababu zipi za msingi ikiwa WATANZANIA tunakwenda kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru wetu?
Nina mshukuru Mungu kama huo mwenge umefutwa na hizo mbio zake kwani hauna tija kwa sisi watanzania,Tujiuliza unapopita na kutumulika nini kinatokea kama sio laana ya kuongezeka kwa mafisadi nguli.Wapendwa wanaJF, kuna habari kuwa mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2011 hazitakuwepo. Naombwa kujuzwa: Je tetesi hizi ni za kweli na kama ni kweli ni kwa sababu zipi za msingi ikiwa WATANZANIA tunakwenda kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru wetu?