Mbio za Mbuzi

Keykey

JF-Expert Member
Dec 1, 2006
3,250
740
Hii hotokea Bongo kila mwaka nimeikuta kwenye Blog ya BBC

1.jpg


Aid worker Isla Gilmore snapped this in Tanzania. The goat race is an annual charity event, she said. "The goats don't really run - they have to be pushed." BBCNews Africa
 
Hii hotokea Bongo kila mwaka nimeikuta kwenye Blog ya BBC

1.jpg


Aid worker Isla Gilmore snapped this in Tanzania. The goat race is an annual charity event, she said. "The goats don't really run - they have to be pushed." BBCNews Africa

Hiki ni kitu kizuri kama moja ya starehe lakini pia ni fund raising activity - infact ni Ascot ya TZ Lol maana hao mbuzi huwekewa dau..na wanapewa wasifu kama wale farasi wa kuleeeeeeeeeee mfano utaona wanasema Mbuzi xyz kutoka " stable" fulani, mwenyewe ni xyz.... aliwahi kushiriki mbio mara .... na alishinda mara......
kwa kweli ni starehe ya aina yake lakini mwisho wa siku ni mapato yanayopatikana kupelekwa kusaidia a good cause."Kibaya" hapa ni kwamba waandaaji ni maTX walioko Tz ....I wish na watz tungeweza kuwa na creativity kama hii lakini ndo hivyo...majukumu na shughuli nadhani zinatuzidia.Wakati wenzetu weekend ni ya kupumzika kikamilifu na kustarehe, watz wengi hicho ndio kipindi cha kuhangaika kutafuta kipato cha ziada....anyway tuwapongeze wenzetu kwa ubunifu.
 
Hiki ni kitu kizuri kama moja ya starehe lakini pia ni fund raising activity - infact ni Ascot ya TZ Lol maana hao mbuzi huwekewa dau..na wanapewa wasifu kama wale farasi wa kuleeeeeeeeeee mfano utaona wanasema Mbuzi xyz kutoka " stable" fulani, mwenyewe ni xyz.... aliwahi kushiriki mbio mara .... na alishinda mara......
kwa kweli ni starehe ya aina yake lakini mwisho wa siku ni mapato yanayopatikana kupelekwa kusaidia a good cause."Kibaya" hapa ni kwamba waandaaji ni maTX walioko Tz ....I wish na watz tungeweza kuwa na creativity kama hii lakini ndo hivyo...majukumu na shughuli nadhani zinatuzidia.Wakati wenzetu weekend ni ya kupumzika kikamilifu na kustarehe, watz wengi hicho ndio kipindi cha kuhangaika kutafuta kipato cha ziada....anyway tuwapongeze wenzetu kwa ubunifu.

WomenofSubstance!

Unanishangaza yaani unaita kufukuza mbuzi ni creativity? Hivi nyie waTZ mmepata huo wazimu kutoka wapi? Mimi nafikiri ingekuwa busara wakakimbizana hao watu weupe walioko kwenye back ground ingekuwa burdani tosha . Hivi kile chama cha kuzuia ukatili dhidi ya wanyama bado kipo au CCM walikibinafsisha?

This is cruelity against animals basic rights. Of course we have been sexing the human rights sembuse haki za mbuzi who according to a swahili adage ''kamba shingoni ni stahili yake mbuzi''

We are now quite a laughable stock kila kitu kinawashinda waswahili hata kula ? Usishangae ukakuta hao watu wenye rangi nyeupe wakawa ndo wafadhili na wanasudujiwa na hawa wapuuzi wanokimbiza hao mbuzi nina hakika hao mbuzi hawajapata hata maji ya kunywa ebu yaangalie mnatia aibu na kuleta kichefuchefu you big ******!!
 
WomenofSubstance!

Unanishangaza yaani unaita kufukuza mbuzi ni creativity? Hivi nyie waTZ mmepata huo wazimu kutoka wapi? Mimi nafikiri ingekuwa busara wakakimbizana hao watu weupe walioko kwenye back ground ingekuwa burdani tosha . Hivi kile chama cha kuzuia ukatili dhidi ya wanyama bado kipo au CCM walikibinafsisha?

This is cruelity against animals basic rights. Of course we have been sexing the human rights sembuse haki za mbuzi who according to a swahili adage ''kamba shingoni ni stahili yake mbuzi''

We are now quite a laughable stock kila kitu kinawashinda waswahili hata kula ? Usishangae ukakuta hao watu wenye rangi nyeupe wakawa ndo wafadhili na wanasudujiwa na hawa wapuuzi wanokimbiza hao mbuzi nina hakika hao mbuzi hawajapata hata maji ya kunywa ebu yaangalie mnatia aibu na kuleta kichefuchefu you big ******!!

In what sense is racing goats as depicted in above picture tantamount to animal cruelty? Whose standards of animal treatment are you invoking? And what do you know about Goat Racing anyway?
 
Hivi huyo mbuzi atakaeshinda anazawadiwa nini? Majani mengi zaidi au ndio kisu?
 
Zingekuwa mbio za Mbwa nadhani ndio ingeonekana kuwa Watz ni wastaarabu. Lakini kwa kuvumbua michezo na burudani zetu wenyewe inaonekana kama ni ukiukaji wa haki za wanyama.
 
Watalalamika sana tukianzisha mbio za kufukuza paka na panya. Subirini tu watu waandae kanuni zake.
 
Mimi na rafiki zangu tulikuwa na mbuzi wetu kati ya mbuzi walioshiriki. It was a family day out, to have fun, drink and cheers to the goat races.

At the end of the day, all the money goes to charity and they raised TZS 60M this year. There were 13 charity organisation named for this year's goat races which will benefit from the funds raised.
 
Mimi na rafiki zangu tulikuwa na mbuzi wetu kati ya mbuzi walioshiriki. It was a family day out, to have fun, drink and cheers to the goat races.

At the end of the day, all the money goes to charity and they raised TZS 60M this year. There were 13 charity organisation named for this year's goat races which will benefit from the funds raised.

Msaki!

Something is wrong with you buddy. Hapa tunaongelea haki za msingi za wanyama but unakuja na porojo za charity. Kwa nini wewe na familia yako msingekimbizana kwa kuvaa magunia which is also creative na mngepata huo mchango after all unakopelekwa si tumboni tu. Stop using draconian and baseless tactiicts. Nataka uniambie mbona mnabaka haki za wanyama.

Charity begins at home hicho kizazi kipya mwataka wapate mafinzo gani kwa kufukuza paka ,kuku etc!!! Au kwa vile hawana utashi ndio maana you are playing with them. Please watch out kama alivyo mtoto pia mbuzi wataka haki period!
 
WomenofSubstance!

Unanishangaza yaani unaita kufukuza mbuzi ni creativity? Hivi nyie waTZ mmepata huo wazimu kutoka wapi? Mimi nafikiri ingekuwa busara wakakimbizana hao watu weupe walioko kwenye back ground ingekuwa burdani tosha . Hivi kile chama cha kuzuia ukatili dhidi ya wanyama bado kipo au CCM walikibinafsisha?


Racist intentions, It is amazing how we "Black" are the most racist human beings to date.

TnT_racing_goats.jpg



This is cruelity against animals basic rights. Of course we have been sexing the human rights sembuse haki za mbuzi who according to a swahili adage ''kamba shingoni ni stahili yake mbuzi''

We are now quite a laughable stock kila kitu kinawashinda waswahili hata kula ? Usishangae ukakuta hao watu wenye rangi nyeupe wakawa ndo wafadhili na wanasudujiwa na hawa wapuuzi wanokimbiza hao mbuzi nina hakika hao mbuzi hawajapata hata maji ya kunywa ebu yaangalie mnatia aibu na kuleta kichefuchefu you big ******!!

Mi naona Mbuzi wote wana afya njema, sidhani kama they look unhealthy or thirsty,

compare hao na huyu

abusedgoat.jpg


Hivi nikuulize,

Unakula Nyama?, Do you use Leathery Goods/Upholstery?

B.
 
Last edited:
Back
Top Bottom