Kama kawaida; kwenye mbio za kilimarathon; wakenya huwa wanazota tuzo zote katika kategories za mbio. Mwaka jana tu ndo mtanzania mmoja alitutoa kimasomaso kwa kushinda kategori ya Mita 21 kwa kuibuka mshindi na washindi wengine walofata walikuwa wakenya.
Hata leo kwenye hizi mbio za kilimarathon za mwaka huu wakenya wamezidi kutuonesha umwamba wao katika mbio kwa kushinda allkategori.
Hata leo kwenye hizi mbio za kilimarathon za mwaka huu wakenya wamezidi kutuonesha umwamba wao katika mbio kwa kushinda allkategori.