The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,250
- 42,864
Kwa wazoefu na watu wanaofanya mazoezi ya baiskeli inawezekana kabisa.
Tulikua tunaendesha baiskeli kutokea Shelui - Igunga miaka hiyo bara bara mbovu, baiskeli nzito na tulikua na umri mdogo (miaka 14). Hapo ni umbali wa Takriban KM 36. Ukienda na kurudi inamaana 72 KM. Ila ndio ukirudi ulimi na kinywa vimekauka unatoka utelezi tu.
Mwili wote hauwezi hata kunyanyua kidole.
Tulikua tunaendesha baiskeli kutokea Shelui - Igunga miaka hiyo bara bara mbovu, baiskeli nzito na tulikua na umri mdogo (miaka 14). Hapo ni umbali wa Takriban KM 36. Ukienda na kurudi inamaana 72 KM. Ila ndio ukirudi ulimi na kinywa vimekauka unatoka utelezi tu.
Mwili wote hauwezi hata kunyanyua kidole.