Mbinu zitumikazo na baadhi ya vyama tawala kubaki madarakani duniani

Kipangaspecial

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
19,408
25,925
Mbinu za baadhi vyama tawala Afrika kubaki madarakani ni kama zifuatavyo.

A. Kuanzisha vyama feki vya upinzani vitakavyounga juhudi.

B. Kutumia dola kukandamiza chama kikuu cha upinzani

C. Kutumia mihimili mingine kukandamiza upinzani

D. Kununua wapinzani na kuonekana kuwa chama tawala kinakubalika

E. Kuvuruga chaguzi kubaki madarakani

F. Kutengeneza vyama mbadala vya kupambana na vyama halisi vya upinzani

G. Kutumia mali za umma na vyombo vya dola kubaki madarakani

H. Kuweka sheria kandamizi ili kunyang'anya uhuru wa mawazo, habari na haki nyingine za binadamu.

Ni jambo la kushukuru kwamba CCM hawajafikia hatua hizo. Tuendelee kuwaombea wabaki kwenye right track kuelekea kuifanya nchi yetu kuwa dona kantree
 
Wafanyao haya hawata ingia peponi..
Mbinu za baadhi vyama tawala Afrika kubaki madarakani ni kama zifuatavyo.

A. Kuanzisha vyama feki vya upinzani vitakavyounga juhudi.

B. Kutumia dola kukandamiza chama kikuu cha upinzani

C. Kutumia mihimili mingine kukandamiza upinzani

D. Kununua wapinzani na kuonekana kuwa chama tawala kinakubalika

E. Kuvuruga chaguzi kubaki madarakani

F. Kutengeneza vyama mbadala vya kupambana na vyama halisi vya upinzani

G. Kutumia mali za umma na vyombo vya dola kubaki madarakani

H. Kuweka sheria kandamizi ili kunyang'anya uhuru wa mawazo, habari na haki nyingine za binadamu.

Ni jambo la kushukuru kwamba CCM hawajafikia hatua hizo. Tuendelee kuwaombea wabaki kwenye right track kuelekea kuifanya nchi yetu kuwa dona kantree
 
Mbinu za baadhi vyama tawala Afrika kubaki madarakani ni kama zifuatavyo.

A. Kuanzisha vyama feki vya upinzani vitakavyounga juhudi.

B. Kutumia dola kukandamiza chama kikuu cha upinzani

C. Kutumia mihimili mingine kukandamiza upinzani

D. Kununua wapinzani na kuonekana kuwa chama tawala kinakubalika

E. Kuvuruga chaguzi kubaki madarakani

F. Kutengeneza vyama mbadala vya kupambana na vyama halisi vya upinzani

G. Kutumia mali za umma na vyombo vya dola kubaki madarakani

H. Kuweka sheria kandamizi ili kunyang'anya uhuru wa mawazo, habari na haki nyingine za binadamu.

Ni jambo la kushukuru kwamba CCM hawajafikia hatua hizo. Tuendelee kuwaombea wabaki kwenye right track kuelekea kuifanya nchi yetu kuwa dona kantree
Kwahiyo unamaanisha kumbe Chadema.....!?
 
Magufuli ni rais pekee ambaye licha ya Ukristu wake amefanikiwa kutengeneza urasimu serikalini kwa kuanzisha Tume pamoja sekta pendwa ya kujenga Tarura na kutengeneza ajira rukuki..


Uko mbele hata uwe na mawazo gani ya Job Creation andika tuu ukiona vipi tuma kwa makamu wa Rais kwa sababu huwezi kumfundisha mkristo kutengeneza kazi kwa sababu mtu akifa wanamuweka kwenye Jeneza..

Thamani ya mtu aliyekufa walikuwa hawaijui ni sawa na mchele, maharage, mihongo n.k ipo siku tutatengeneza jeneza lake aka kupack n.k

Pamoja na jeneza kuwekewa mauwa hizi ndiyo faida za mtu kufa:

1. Hupumui
2. Hufikirii hata ban/spam//Job Creation
3. Huendi kazini yaani kutembea
4. Hakuna ndoto maana watoto wanandoto
5. Hakuna kutafsiri ubaguzi
7. Hakuna kusafiri wala kuhudumia gari
8. Hupambanii sifa au uongozi
9. Huna interest
10. Hausomi Gazette, Vitabu n.k
11. Huna gharama za kodi ya nyumba, safari, nguo, kitanda, video au kingamuzi n.k

Kazi ya wakristu moja tu Jeneza na kupambania ideology yangu kwa sababu ya utakatifu tifu..

Hata hivyo zitakuwa mbinu za kupatia wanawake maana wstu kutokuwa na ajira fursa mwanamke leta K kazi fasta..

Kwa hisani ya watu wa marekani[/QUOTE]Meanwhile Sudan has confiscated assets valued at $4 billion from former President Al Bashir. Bashir was overthrown by the army a year ago amid mass protests against his 3 decade rule. Was jailed after being found guilty of illicitly possessing millions of dollars in foreign currencies.
 
Mbinu za baadhi vyama tawala Afrika kubaki madarakani ni kama zifuatavyo.

A. Kuanzisha vyama feki vya upinzani vitakavyounga juhudi.

B. Kutumia dola kukandamiza chama kikuu cha upinzani

C. Kutumia mihimili mingine kukandamiza upinzani

D. Kununua wapinzani na kuonekana kuwa chama tawala kinakubalika

E. Kuvuruga chaguzi kubaki madarakani

F. Kutengeneza vyama mbadala vya kupambana na vyama halisi vya upinzani

G. Kutumia mali za umma na vyombo vya dola kubaki madarakani

H. Kuweka sheria kandamizi ili kunyang'anya uhuru wa mawazo, habari na haki nyingine za binadamu.

Ni jambo la kushukuru kwamba CCM hawajafikia hatua hizo. Tuendelee kuwaombea wabaki kwenye right track kuelekea kuifanya nchi yetu kuwa dona kantree

Aina hizi ya uandishi nimeipenda, mbinu huu itakuacha salama na kundi la watu wasiojulikana.
 
CDM ni Chama chenye nguvu sana nchi Zambia.
Ili kuamini hili, angalia inavyoandamwa na
1. Jeshi la Polisi
2. SSM
3-Wakurugenzi
4. Vyama vya upinzani vinavyotumiwa (NSSR)
5.Dola

Ongezea vingine, Kama bado vipo!!
Mi naona Kama vile we haujui wanachokijua ndio maana hata huenda ukawa unaandika ambacho we haukijui ila haujui Kama unakujua au haukijui ila umeandika tu..😅
 
Back
Top Bottom