Mbinu zinazotumiwa na Wazungu kutusahaulisha tusidai fidia ya mateso waliyowapatia ndugu zetu

NTWA MWIKEMO

JF-Expert Member
Oct 7, 2014
734
365
Mbinu hizo ni
1. Demokrasia
2. Mikopo
3. Haki za Binadamu
4. Kupandikiza Viongozi wa kuwasaidia kuwapumbaza Waafrika wasahau Mateso waliyowafanyia Wazee wetu.
5. Mfumo wa Elimu
6. Kutukuza Lugha zao na Ufadhili wa kusomeshwa.
7. Misaada yenye Mashariti nafuu.
8.Kukudumaza uwezo wa kufikilia ili uone bila Wakoloni hakuna unaloweza kulifanya.
9. Propaganda ili mfikilie kuyamaliza msahau kudai utajili wenu waliouiba.
N.k

Vijana tushtuke, kwani kwa sasa tuna Rais Mtendaji, Tunawanasheria waliobobea, tuna wataalam wa uchumi na siasa, n.k
Kwa Pamoja tuandike andiko la kudai utajili wetu waliotuibia toka kipindi cha Triangular Trade up to now.

Bila kudai hayo kipindi tuna Rais ambaye anathubutu kufanya siamini kama tutaweza kufanikiwa kipindi kama tutakuwa na Viongozi wa kariba ya kujipendekeza kama akina Ayatora wa KGM.
 
Mbinu hizo ni
1. Demokrasia
2. Mikopo
3. Haki za Binadamu
4. Kupandikiza Viongozi wa kuwasaidia kuwapumbaza Waafrika wasahau Mateso waliyowafanyia Wazee wetu.
5. Mfumo wa Elimu
6. Kutukuza Lugha zao na Ufadhili wa kusomeshwa.
7. Misaada yenye Mashariti nafuu.
8.Kukudumaza uwezo wa kufikilia ili uone bila Wakoloni hakuna unaloweza kulifanya.
9. Propaganda ili mfikilie kuyamaliza msahau kudai utajili wenu waliouiba.
N.k

Vijana tushtuke, kwani kwa sasa tuna Rais Mtendaji, Tunawanasheria waliobobea, tuna wataalam wa uchumi na siasa, n.k
Kwa Pamoja tuandike andiko la kudai utajili wetu waliotuibia toka kipindi cha Triangular Trade up to now.

Bila kudai hayo kipindi tuna Rais ambaye anathubutu kufanya siamini kama tutaweza kufanikiwa kipindi kama tutakuwa na Viongozi wa kariba ya kujipendekeza kama akina Ayatora wa KGM.
Hii ni hoja nzito sana.
Lakini tunashindwa kuibeba sababu bado tuna wajinga na wabinafsi wengi.

Ifahamike kwamba ili utambue madhara ya kunyonywa na wazungu tangu enzi hizo ni lazima utambue kwamba wazungu bado wanatunyonya sana mpaka sasa. Sasa mfano kwa sasa Tz tuna viongozi wengine wa vyama vya siasa na wanao jiita taasisi za kutetea haki za binadamu wanamuona mzungu (anayetunyonya) ni rafiki zaidi kwao kuliko viongozi wa serikali wanaokesha kuhakikisha mirija ya kutunyonya kwa njia mbalimbali Kama mikataba mibovu inakatwa, na huduma za msingi kwa wananchi zinavoreshwa.
Nina hakika wazungu watakuwa wanatucheka sana.

Nafuu wenzetu waarabu wamekuwa na stake kubwa kwenye biashara ya mafuta, na maendeleo tunayaona. Sisi tuna natural resources nyingi na za thamani kubwa sana, lakini almost zoote bado zinachukuliwa na kuwanufaisha wazungu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom