muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,427
- 9,922
Aisee Ulimfanyaje huyo kenge?..Mmoja aliniambia et anaomba simu yangu anisajiri na kifurushi cha chuo, nikampa simu lakn baada ya hapo lain yangu ikafungiwa, nikaja kugundua alitaka kufanya muhamara kwa kutumia miaka iliyoko kwenye kitambulisho changu kama password.