Mbinu zinazotumiwa na Matapeli kwenye M-Pesa,Tigo Pesa Airtel M n.k

Mmoja aliniambia et anaomba simu yangu anisajiri na kifurushi cha chuo, nikampa simu lakn baada ya hapo lain yangu ikafungiwa, nikaja kugundua alitaka kufanya muhamara kwa kutumia miaka iliyoko kwenye kitambulisho changu kama password.
Aisee Ulimfanyaje huyo kenge?..
 
Back
Top Bottom