GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Na declare Interest Mimi sina chama na ni Mtanzania nimeishi Rwanda miaka 10,Ni mtaalamu wa Fedha na Pia nimeshiriki kutoa mbinu za Uchaguzi na Ushindi kwa vipindi tofauti Tanzania kwa ufupi Nimesomea pia mambo ya Political impact Analysis (PIA)
Mbinu namba moja :
Tunatumia akina Mama wajawazito wengine kweli wajawazito wengine sio wajawazito wanabeba kura tumboni kwa kuzifunga vizuri na nguo zao, Hawa tunawapa kazi ya kuwa wasimamizi wa kituo cha uchaguzi
Mbinu namba mbili :
Tunatumia zile kofia zinaitwa cap wengi huzivaa kichwani hata tume ya uchaguzi hutoa cap nyeupe mule ndani hujaza kura kwa kushindilia na kuzibana na gundi maalum mara nyingi hizi kofia tunawapatia mawakala wetu mapema kwa kushirikiana na watendaji kata na mitaa
Mbinu namba Tatu :
Tunawatumia wazee hasa vikongwe kama mabibi na mababu Hawa kitaalamu tunawaita ( Duplication au Back up), nitaeleza maana ya hili neno asili na kwanini linatumika Hivi, kwa watu wa IT engineers wanajua system ikifeli lazima kuwe na backup, Hawa wazee tunawabebesha kura kwenye zile koti zao na mara nyingi hawa wazee huja na wasindikizaji ambao hujifanya kumsaidia Mzee hivyo nao tunawabebesha kura, akishapiga kura Mzee hujifanya kuchoka hivyo mkuu wa kituo husisitiza kachukueni wheelchair kwenye gari hapo ndipo kura zingine huletwa zilifungwa vizuri na wheelchair
Hii mbinu ya kutumia wazee Ndio mbinu kuu kwani kila mtu huona wazee ni wastaarabu hivyo hata msimamizi akisema wazee kwanza waingie mara nyingi hapa wazee huenda kushusha kura walizobeba
Mbinu mamba nne
Tunatumia Yale magari ya kubeba kura kupeleka wilayani au sehemu ya majumuisho, Chini ya kiti cha dereva na siti zingine tunajaza kura zinawekwa kiustadi mkubwa sana Sana na hapa madereva wanafahamu akicheza kidogo kazi hana, Tupo radhi kumwambia dereva aseme sanduku limepasuka wakati wa kusafirisha kama ikibainika
Mbinu namba Tano
Kuwatumia mawakala kinzani hii inaitwa (Separation) hapa tunawagawa mawakala pinzani kwa level zao au priority Scale, Tunawatafuta na kuongea nao kabla ya uchaguzi hapa tupo radhi hata kuwasumbua na kuwachelewesha vituoni ili wapate sababu wakibanwa na vyama vyao kuwa wamenunuliwa
Hii mbinu ni gharama it's much cost hivyo hutumika kwenye chaguzi ndogo ndogo au maeneo ya kimkakati ambapo mambo huwa magumu
Mbinu namba Sita
Hii inaitwa The Response sijui kwa kiswahili ni mbinu katili sana hapa kama mbwai na iwe mbwai,
Hii mbinu wataalamu wengi wa psychological risk wanaonya isitumike lakini ndio mbinu kuu ya sasa Tanzania hapa kuna mambo mengi
Kufuta matokeo
Kukubali matokeo
Kugawana ushindi mwembamba
Kutokubali kushindwa, hapa sasa Ndio watawala tunawashauri watumie polisi, wakuu wa wilaya na zana yeyote hata vitsho lazima kushinda
Katika hii mbinu za Response au muitikio Ndio mbinu hatari ingawa lazima tupime madhara kwanza yatakuwaje
Mbinu nyingine zitabaki Siri nitaeleza taratibu, Hili la kukimbia na sanduku lipo kwenye The Response tumewahi kuitumia hii Mbinu huko Ruvuma pia mwaka 2010 watu wa Dsm ndio wageni wa haya mambo
Mbinu namba moja :
Tunatumia akina Mama wajawazito wengine kweli wajawazito wengine sio wajawazito wanabeba kura tumboni kwa kuzifunga vizuri na nguo zao, Hawa tunawapa kazi ya kuwa wasimamizi wa kituo cha uchaguzi
Mbinu namba mbili :
Tunatumia zile kofia zinaitwa cap wengi huzivaa kichwani hata tume ya uchaguzi hutoa cap nyeupe mule ndani hujaza kura kwa kushindilia na kuzibana na gundi maalum mara nyingi hizi kofia tunawapatia mawakala wetu mapema kwa kushirikiana na watendaji kata na mitaa
Mbinu namba Tatu :
Tunawatumia wazee hasa vikongwe kama mabibi na mababu Hawa kitaalamu tunawaita ( Duplication au Back up), nitaeleza maana ya hili neno asili na kwanini linatumika Hivi, kwa watu wa IT engineers wanajua system ikifeli lazima kuwe na backup, Hawa wazee tunawabebesha kura kwenye zile koti zao na mara nyingi hawa wazee huja na wasindikizaji ambao hujifanya kumsaidia Mzee hivyo nao tunawabebesha kura, akishapiga kura Mzee hujifanya kuchoka hivyo mkuu wa kituo husisitiza kachukueni wheelchair kwenye gari hapo ndipo kura zingine huletwa zilifungwa vizuri na wheelchair
Hii mbinu ya kutumia wazee Ndio mbinu kuu kwani kila mtu huona wazee ni wastaarabu hivyo hata msimamizi akisema wazee kwanza waingie mara nyingi hapa wazee huenda kushusha kura walizobeba
Mbinu mamba nne
Tunatumia Yale magari ya kubeba kura kupeleka wilayani au sehemu ya majumuisho, Chini ya kiti cha dereva na siti zingine tunajaza kura zinawekwa kiustadi mkubwa sana Sana na hapa madereva wanafahamu akicheza kidogo kazi hana, Tupo radhi kumwambia dereva aseme sanduku limepasuka wakati wa kusafirisha kama ikibainika
Mbinu namba Tano
Kuwatumia mawakala kinzani hii inaitwa (Separation) hapa tunawagawa mawakala pinzani kwa level zao au priority Scale, Tunawatafuta na kuongea nao kabla ya uchaguzi hapa tupo radhi hata kuwasumbua na kuwachelewesha vituoni ili wapate sababu wakibanwa na vyama vyao kuwa wamenunuliwa
Hii mbinu ni gharama it's much cost hivyo hutumika kwenye chaguzi ndogo ndogo au maeneo ya kimkakati ambapo mambo huwa magumu
Mbinu namba Sita
Hii inaitwa The Response sijui kwa kiswahili ni mbinu katili sana hapa kama mbwai na iwe mbwai,
Hii mbinu wataalamu wengi wa psychological risk wanaonya isitumike lakini ndio mbinu kuu ya sasa Tanzania hapa kuna mambo mengi
Kufuta matokeo
Kukubali matokeo
Kugawana ushindi mwembamba
Kutokubali kushindwa, hapa sasa Ndio watawala tunawashauri watumie polisi, wakuu wa wilaya na zana yeyote hata vitsho lazima kushinda
Katika hii mbinu za Response au muitikio Ndio mbinu hatari ingawa lazima tupime madhara kwanza yatakuwaje
Mbinu nyingine zitabaki Siri nitaeleza taratibu, Hili la kukimbia na sanduku lipo kwenye The Response tumewahi kuitumia hii Mbinu huko Ruvuma pia mwaka 2010 watu wa Dsm ndio wageni wa haya mambo