Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hahahhaa kama mke wa filikunjombe..namwangaliaga nasema nhiii!🤣Katika Maisha utajua una pesa kiasi gani lkn huwezi kujua umebakiza siku ngapi za kuishi.
Ubahili Ni ujinga tu.
Utamuachia mke mijippesa halafu wahuni tu wanakuja kulala nae na kutumia pesa uliyokataa kuitumia kwa upumbavu