jmushi1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2007
- 24,402
- 21,303
Tunataka Serikali ya CCM ielewe kwamba kama ikiendelea na viini macho dhidi ya watanzania then watanzania wote tulioko nje tutazishinikiza serikali za magharibi kujaribu kuhakikisha kwamba this time haki inatendekana hakuna mazingaombwe!
Uwajibikaji ni lazima uwepo this time!
Inashangaza kuona Serikali inasema wananchi wanahojiwa ili kujua ukweli wa tuhuma za ufisadi kabla ya kumhoji Balali?
Rais alimfukuza kazi kwasababu gani?Anawahoji wananchi na kula meza moja na mafisadi?
Kama Kikwete anajua madhara yatakuwa makubwa ukweli ukianikwa hadharani then hayo ni matatizo yake..Tunataka ukweli na uwajibikaji!
Afute baraza lote la mawaziri ikiwezekana..ama yeye mwenyewe ajiuzulu ikibidi!Huo ndio uwajibikaji!Nchi si ya watu wachache!Ni ya raia zaidi ya milioni 30!
Uwajibikaji ni lazima uwepo this time!
Inashangaza kuona Serikali inasema wananchi wanahojiwa ili kujua ukweli wa tuhuma za ufisadi kabla ya kumhoji Balali?
Rais alimfukuza kazi kwasababu gani?Anawahoji wananchi na kula meza moja na mafisadi?
Kama Kikwete anajua madhara yatakuwa makubwa ukweli ukianikwa hadharani then hayo ni matatizo yake..Tunataka ukweli na uwajibikaji!
Afute baraza lote la mawaziri ikiwezekana..ama yeye mwenyewe ajiuzulu ikibidi!Huo ndio uwajibikaji!Nchi si ya watu wachache!Ni ya raia zaidi ya milioni 30!