Mbinu za kupunguza sugu kwa wanaojichubua

Kunashoga Angu miguu imegoma kutakataa usoo Kama muarabu na mashungii unaweza ukasema kashuka kutoka Oman na weupe ulee shuka Kwenye miguu Sasa :D:D:eek::D:D:D :D:D:D:D:eek::eek: sijui apake nini atakate
Hhaaaaaaaa tatizo wanakosea kitu kimoja cream ya uson si ya kupaka miguun .....
 
Na kwanini wajichubue
Tatizo mna waaminisha kua ngozi nyeupe ndio uzuri yaani sisi kwa sisi tunajibagua ndio maana wanajichubua,

Ila me nawaambia wale matunda kwa wingi, wanywe maji mengi na wafanye mazoezi kwa sana.

Ngozi itakua nzuri kama ya mtoto mng'aaa.
Lol.
 
Back
Top Bottom