Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,624
Habari za leo
Tuende moja kwa moja kwenye hii mada fupi
Sipendi kuona wanawake wenzangu wakijichubua (japo na wanaume wengi nao wanashika kasi)
Ila siwez kulaumu hata siku moja kwanini wanajichubua na ndio maana leo ninazo mbinu za kuwasaidia kupunguza zile sugu
Eheee wamama ....ni hivi unapopaka mafuta yako epuka
Kunyoosha vidole wakati wa kupaka vidolen,,namaanisha ukishapaka mwilini kunja vidole vyako kisha paka cream yako ,,
kunja mguu kisha paka kwenye goti
Kunja vidole vya mguu kisha paka
Inama kisha paka kwenye kalio
Kunja kiwiko kisha paka cream yako
Inasaidia mafuta kupenya haraka kwenye mikunjo ,, na upake mengi kidogo
Kumbuka ngoz ya hapo n ngumu na nying ilojikusanya so usipake kama unapaka uson
Vivyo hivyo wakat wa kwenda kujiogesha kama unatumia sabun za kujing'arisha unajisafisha kwa mfumo wa hapo juu....
Itakusaidia mno kupunguza/kutokuwa na weusi katika zile sehemu za ngozi ngumu,,,
by Naima
Tuende moja kwa moja kwenye hii mada fupi
Sipendi kuona wanawake wenzangu wakijichubua (japo na wanaume wengi nao wanashika kasi)
Ila siwez kulaumu hata siku moja kwanini wanajichubua na ndio maana leo ninazo mbinu za kuwasaidia kupunguza zile sugu
Eheee wamama ....ni hivi unapopaka mafuta yako epuka
Kunyoosha vidole wakati wa kupaka vidolen,,namaanisha ukishapaka mwilini kunja vidole vyako kisha paka cream yako ,,
kunja mguu kisha paka kwenye goti
Kunja vidole vya mguu kisha paka
Inama kisha paka kwenye kalio
Kunja kiwiko kisha paka cream yako
Inasaidia mafuta kupenya haraka kwenye mikunjo ,, na upake mengi kidogo
Kumbuka ngoz ya hapo n ngumu na nying ilojikusanya so usipake kama unapaka uson
Vivyo hivyo wakat wa kwenda kujiogesha kama unatumia sabun za kujing'arisha unajisafisha kwa mfumo wa hapo juu....
Itakusaidia mno kupunguza/kutokuwa na weusi katika zile sehemu za ngozi ngumu,,,
by Naima