KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,477
- 2,360
- Thread starter
- #41
strong point mkuu
kwa hili tu umegeuka na kuwa kilaza jumla pamoja na hoja zako nzurije unakumbuka utekwaji wa yule mwanachama wa chadema ambaye anamuunga mkono zito kabwe alitupwa ununio na watekaji anawajua ni chadema wenzake? Acha porojo okoa maisha yako
kutekwa si lazima uwe kwenye mkutano siasa
mbona mtoa mada hajagusia nyumba ndogo.je aende kulala huko au ampokee yesu ili hasiziliwe?
Tabu yote ya nini wakati ukiwaona ndugu zangu wasambaa wanakupa dawa ya MUKU pamoja na ZINDIKO.
Hii MUKU ni kiboko ya njia, wabaya wako wote wanasahau njia ya kwako na kuna wakati hata sura na jina lako wanavisahau.
Kama unataka namba ingia pm.
Daaa! Mwanangu kwa tukio la siku moja ufuate Muku! Hiv unajua mpaka muku ukamilike unatumia mda gan?