Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
mkakati ni kwamba kunaandaliwa waleta fujo kwenye vituo vya kura.wakati fujo zinaendelea polisi wanafika kwa kasi huku gari zao zikiwa na masanduku yenye kura za sioi,fujo inatulizwa na uhesabu wa kura unaendelea hapo utaona kila kura inayotoka ni sioi...
Mkuu sina tabia ya kuleta udaku hapa jamvini.take it or leave it!
Huwa na naamini sana comments zako mkuu, nafikiri kunahaja ya kila kituo kuwa na watu hodari hasa maeneo ya mbali ambako huoumafia ukifanyika waweze kukabiliana nao.