Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
*AINA ZA VYAKULA
Tusidanganyane chakula ndio kila kitu mwilini,vyakula vya nafaka zisizokobolewa ni vizuri sana kuupa uume nguvu kuliko unavyodhani. Hivyo kama ni ugali basi penda sana kula ugali wa dona na sio sembe kwani sembe huwa haina kiini cha njano chenye protini na wanga ambacho ni silaha sana katika kuutia nguvu uume na mwili kwa ujumla.
Matunda pia kama matango,karoti ni muhimu sana katika kujenga nguvu za kiume.Vyakula vingine ni kama mihogo mibichi,magimbi nk. Lazima uwe na utamaduni wa kutumia aina hii ya vyakula katika maisha yako ya kila siku, sio eti leo una mechi na mdada ndio unajifanya kufakamia mamihogo loo siku hiyo!
*MAZOEZI
Mazoezi ya viungo ni muhimu sana kwani hufanya mwili uwe fit na hivyo huimarisha hata uume na kuufanya usilale kirahisi pale unapokuwa katika show na mrembo. Push up, kukimbia, kurukaruka, Kichura, mazoezi ya kukata tumbo na mazoezi mengine mengi ni muhimu sana.
*ACHANA NA UNYWAJI WA POMBE ULIOPITA KIASI
Pombe ni hatari sana na inadhoofisha sana nguvu za kiume hivyo chunga sana unywaji wa pombe uliopitiliza kwani ipo siku utajikuta unamwangalia tu mkeo kama dada ako vile wakati yeye nyege zimempanda balaa,matokeo yake itabidi achapwe na njemba zinazojua shughuli huko nje. Ila kwa wengine pombe za spirit kama Konyagi, Valuer, K-vant etc zimewasaidia wasikojoe mapema wakati wa mechi ila kumbuka isiwe too much/addicted
*ACHANA NA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
Hizi dawa ni hatari sana hasahasa zile za hospitali kwani maranyingi zimetengenezwa kwa kemikali ambazo huamsha vichocheo mwili kwa muda flani lakini baada ya muda tatizo litaongezeka maradufu kwani ni tiba kwa muda mfupi tu. Na mwisho wake ikishakuwa sugu mwilini hukataa kufanya kazi
*WACHA MCHEZO WA KUPIGA PUNYETO
Hii kitu ni hatari sana hususani kwa wale wanaosugua sana mishipa ya uume hivyo huifanya isiwe ngangari kiasi cha kukusaidia kumshughulikia vizuri mtoto wa kike mwenye nyege zake. Hivyo kama unafanya haka ka mchezo inabidi uache. Huchangia kwa kiasi kikubwa mishipa ya uume kulegea na kushindwa kufanya kazi ipasavyo
*PUNGUZA MAWAZO/KUWAZA
Hii imewakumba wengi inafika wakati wa mechi mama kajiandaa vizuri lakini baba anawaza madeni anayodai/kudaiwa, wengine hufikiria matatizo ya kazini na mengine mengi kiasi kwamba hawezi kuconcetrate katika mechi ipasavyo. Kwa mfumo huu utachojoa kimoja wakati mama hata nusu ya stimulation haijapanda mwishowe unamwacha kwenye mataa maana uume hautasimama hautasimama kabisa....... hii imepelekea kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa MICHEPUKO katika ndoa za wapendanao. Hivyo pamoja na changamoto za klimaisha tujitahidi kuweka focus ata a particular task on time mengine weka pembeni.
​
See you on next episode
Tusidanganyane chakula ndio kila kitu mwilini,vyakula vya nafaka zisizokobolewa ni vizuri sana kuupa uume nguvu kuliko unavyodhani. Hivyo kama ni ugali basi penda sana kula ugali wa dona na sio sembe kwani sembe huwa haina kiini cha njano chenye protini na wanga ambacho ni silaha sana katika kuutia nguvu uume na mwili kwa ujumla.
Matunda pia kama matango,karoti ni muhimu sana katika kujenga nguvu za kiume.Vyakula vingine ni kama mihogo mibichi,magimbi nk. Lazima uwe na utamaduni wa kutumia aina hii ya vyakula katika maisha yako ya kila siku, sio eti leo una mechi na mdada ndio unajifanya kufakamia mamihogo loo siku hiyo!
*MAZOEZI
Mazoezi ya viungo ni muhimu sana kwani hufanya mwili uwe fit na hivyo huimarisha hata uume na kuufanya usilale kirahisi pale unapokuwa katika show na mrembo. Push up, kukimbia, kurukaruka, Kichura, mazoezi ya kukata tumbo na mazoezi mengine mengi ni muhimu sana.
*ACHANA NA UNYWAJI WA POMBE ULIOPITA KIASI
Pombe ni hatari sana na inadhoofisha sana nguvu za kiume hivyo chunga sana unywaji wa pombe uliopitiliza kwani ipo siku utajikuta unamwangalia tu mkeo kama dada ako vile wakati yeye nyege zimempanda balaa,matokeo yake itabidi achapwe na njemba zinazojua shughuli huko nje. Ila kwa wengine pombe za spirit kama Konyagi, Valuer, K-vant etc zimewasaidia wasikojoe mapema wakati wa mechi ila kumbuka isiwe too much/addicted
*ACHANA NA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
Hizi dawa ni hatari sana hasahasa zile za hospitali kwani maranyingi zimetengenezwa kwa kemikali ambazo huamsha vichocheo mwili kwa muda flani lakini baada ya muda tatizo litaongezeka maradufu kwani ni tiba kwa muda mfupi tu. Na mwisho wake ikishakuwa sugu mwilini hukataa kufanya kazi
*WACHA MCHEZO WA KUPIGA PUNYETO
Hii kitu ni hatari sana hususani kwa wale wanaosugua sana mishipa ya uume hivyo huifanya isiwe ngangari kiasi cha kukusaidia kumshughulikia vizuri mtoto wa kike mwenye nyege zake. Hivyo kama unafanya haka ka mchezo inabidi uache. Huchangia kwa kiasi kikubwa mishipa ya uume kulegea na kushindwa kufanya kazi ipasavyo
*PUNGUZA MAWAZO/KUWAZA
Hii imewakumba wengi inafika wakati wa mechi mama kajiandaa vizuri lakini baba anawaza madeni anayodai/kudaiwa, wengine hufikiria matatizo ya kazini na mengine mengi kiasi kwamba hawezi kuconcetrate katika mechi ipasavyo. Kwa mfumo huu utachojoa kimoja wakati mama hata nusu ya stimulation haijapanda mwishowe unamwacha kwenye mataa maana uume hautasimama hautasimama kabisa....... hii imepelekea kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa MICHEPUKO katika ndoa za wapendanao. Hivyo pamoja na changamoto za klimaisha tujitahidi kuweka focus ata a particular task on time mengine weka pembeni.
​
See you on next episode