Mbinu za kufuata ili uweze kutumia unofficial whatsapp bila kuwa banned

nimetoka kifunguoni sasa hivi baada ya kupigwa ban karibu siku Tatu sasa. wananifungulia baada ya masaa 24 then wanakaa Kama nusu saa wananipiga tena. ngoja nione tena kama watanipiga ban tena.
Tupe mrejesho mkuu
 
Kwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.

Faida za kuroot simu ni kama

1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.

2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted

3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.

Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
 
Ushauri wako umeegemea upande mmoja sana sana kwa wale wanaotumia os za kichina !!ila kwa wale wanaotumia Os nje ya hapo nje ya hapo ushauri wako hautawasaidia mkuu !!!
 
Kwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.

Faida za kuroot simu ni kama

1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.

2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted

3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.

Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
Mkuu unafanyeje kuroot simu?
 
It depends na simu yako. Kuna njia nyingi sana za kuroot simu. Almost kila simu ina njia yake. Sababu kuna files unaflashia hiyo simu yako na kila simu unakuta ina files zake. Pia Namna ya kuflash inatofautiana baina ya simu moja na simu nyingine.
Mkuu simu yangu lg x7 inasumbua kwenye internet ,,tatizo linaweza kua Nini?
 
Kwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.

Faida za kuroot simu ni kama

1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.

2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted

3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.

Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
Namba 3 umeongopa balaa. Halafu waambie na side effects zake ambazo ni mbaya kuliko faida.

Ndio maana service provider wanakwambia "root for your own risk"
 
Kwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.

Faida za kuroot simu ni kama

1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.

2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted

3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.

Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
Hapo 1 tu ndio uko sahihi. 2 na 3 uongo
 
nile ban upya hapa ni vita asse
Screenshot_2019-06-17-00-02-27-14.jpeg
 
Kwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.

Faida za kuroot simu ni kama

1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.

2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted

3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.

Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
Tuelekeze jinsi ya kuroot mkuu
 
Tuelekeze jinsi ya kuroot mkuu
Kama mtu ni mjanja wa simu, basi solution zimejaa mtandaoni. Unaweza kutafuta solution for your phone.

Ila in general

Hatua ya kwanza unaflash TWRP ili uweze kupata TWRP recovery mode.

Hatua ya pili unainstall magisk zip file kwa kupitia TWRP recovery mode

Ukipata solution ilayolie kwenye hizo hatua mbili basi kazi inaweza isiwe ngumu sana.

Ila kuroot simu ni risk.
 
Hiyo 2 na 3 from practical experience.

Kwanza picha linaanza eneo nililopo kati ya watu tunaotumia simu za 4G ni mimi pekeyangu ndo naipata hiyo 4G, the rest hawaipati na simu zao. Na nmeanza kupata 4G baada ya kuroot simu.


So usibishe mkuu. Ndo maana nikakuambia hii nazungumza from experience
Hapo 1 tu ndio uko sahihi. 2 na 3 uongo
 
Kwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.

Faida za kuroot simu ni kama

1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.

2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted

3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.

Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
Charge na speed ya net ni inshu ya hardware na sio software mkuu
 
Hiyo 2 na 3 from practical experience.

Kwanza picha linaanza eneo nililopo kati ya watu tunaotumia simu za 4G ni mimi pekeyangu ndo naipata hiyo 4G, the rest hawaipati na simu zao. Na nmeanza kupata 4G baada ya kuroot simu.


So usibishe mkuu. Ndo maana nikakuambia hii nazungumza from experience
Mkuu acha kutupa chai kavu kama simu haina hardware za 4G haiwezi pokea iyo signal hata uroot mzee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom