Mbinu za kisasa za kuimarisha ndoa

Kwa bahati mbaya kizazi chetu pamoja na millennials hawajaandaliwa kuishi maisha ya ndoa kwa hiyo inapelekea kufanya makosa kila kukicha katika suala zima la ndoa
Kwa hali ya sasa ilivyo ni ngumu sana kuandaliwa inatakiwa sisi kujenga misingi ili sisi ndio tuwaandae madogo. Shida ni kwamba ninyi wakubwa mnakata tamaa mnadhani madogo watajifunza nini?!

Hii ni kazi ya ki MUNGU. Kila siku tunazungumzia swala la kutumia ujana wetu kumtumikia MUNGU sasa tunamtumikiaje kwa akili hizi za kukata tamaa....?!
 
Kweli kabisa. Ndio maana hata katika shule kuna mtu anaamini katika kufeli na yupo anaye amini katika kufaulu.

Yupo anayeamini katika bidii ya kutafuta na yupo anayeamini katika kubahatisha. Hawa wana maisha ya tofauti sana.
Exactly
 
Mtoa mada umeongea mambo mazuri ila swala la communication ni muhimu sana kwa wanandoa kwa kuzingatia 5Ws;Who,where,what, when and how.
Ukitazama vyote nilivyoongea vina maudhui ya kuwasiliana i mean communication. Na vikifanyika hapo ile dhima ya kuwa na mahusiano yenye mawasiliano mazuri inakuwa imekamilika.
 
Kwa hali ya sasa ilivyo ni ngumu sana kuandaliwa inatakiwa sisi kujenga misingi ili sisi ndio tuwaandae madogo. Shida ni kwamba ninyi wakubwa mnakata tamaa mnadhani madogo watajifunza nini?!

Hii ni kazi ya ki MUNGU. Kila siku tunazungumzia swala la kutumia ujana wetu kumtumikia MUNGU sasa tunamtumikiaje kwa akili hizi za kukata tamaa....?!
Hizi nyakati zimekuwa ngumu sana na kwa bahati mbaya approach za kusolve matatizo tunazotumia hazipo sawa kabisa
 
Hizi nyakati zimekuwa ngumu sana na kwa bahati mbaya approach za kusolve matatizo tunazotumia hazipo sawa kabisa
Ni kweli. Ni changamoto sana ukilinganisha na miaka ya nyuma. Ila nina uhakika kama tukiwa serious hakuna jambo linashindikana
 
Hakuna binadamu perfect ila katika mapungufu mnachukuliana na kupendana maisha yanasonga
True... Tatizo mtu anawazia kupewa raha tu na hafikirii kuna muda mta experience magumu na machungu ila kama utajitoa kwaajiri ya mwenzako utaona tofauti.....
 
True... Tatizo mtu anawazia kupewa raha tu na hafikirii kuna muda mta experience magumu na machungu ila kama utajitoa kwaajiri ya mwenzako utaona tofauti.....
Na mkipendana maisha yanakua simpo
 
Na mkipendana maisha yanakua simpo
True...unajua ndio maana vijana wasasa nalalamika maisha magumu sababu vita ya maisha wanapambana pekee yao. Mtu anataka atafute nyumba, na mali zingine pekee yake then baada ya hapo ndio anataka aoe, sasa unaoa huyo mwenzako aje kufanya nini hapo kwako?! Ndio matokeo yake wananyanyasa mabinti za watu...... Sababu hakuna ambalo atakuwa amekuja fanya kama kila kitu umetafuta mwenyewe
 
Back
Top Bottom