Kuna house girl mmoja alibuni mbinu ya kutoka na njemba wake na kuchakachuana bila kujali kazi yake hasa ya kulea mtoto mdogo!!!Sokomoko lilitokea juzi wakati mama mwenye mtoto alipogundua kuwa housegirl anapobaki mwenyewe nyumbani huwa ana tabia ya kutoka kwenda kwa njemba moja jirani.Anapotoka(karibu kila siku kulingana na mashahidi) kumbe humnywesha mtoto dawa za PIRITONI ili kalale kasisumbue starehe zake.Siku ya siku mama kawahi kakuta hamna mtu na mtoto kalala,kumwamsha haamki hadi house girl aliporudi karibu saa zima.Ktk pekua pekua akakuta dawa hizo na ktk kutafuta ukweli ikajulikana hivyo.Mtu wa namna hii tumfanyaje?