super mimi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 223
- 171
Heshima kwenu wakuu...
Nikitammbo kidogo sijasikika japo nimekua msomaj tu hapa ndani.
Niende mojakwamoja kwenye mada....
Nipo chuo namshukuru muumba mamba yanakwenda....
Nilifanikiwa kujenga urafiki na wadada kadhaa ila kuna huyu Dada wa kiislam nimetokea kumpenda japo nimezoeana nae kama rafiki tu wakawaida....
Ombi langu kwenu ...ni njia gan nitumie nimshawishi tuwe wapenzi maana awali alinizoea kama rafiki !?...na anaonekana anamsimamo haswaaa....
Nawasilisha wakuu...
Nikitammbo kidogo sijasikika japo nimekua msomaj tu hapa ndani.
Niende mojakwamoja kwenye mada....
Nipo chuo namshukuru muumba mamba yanakwenda....
Nilifanikiwa kujenga urafiki na wadada kadhaa ila kuna huyu Dada wa kiislam nimetokea kumpenda japo nimezoeana nae kama rafiki tu wakawaida....
Ombi langu kwenu ...ni njia gan nitumie nimshawishi tuwe wapenzi maana awali alinizoea kama rafiki !?...na anaonekana anamsimamo haswaaa....
Nawasilisha wakuu...